Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa ifakara kwa 80% upo kwenye maji. Hasara nibkubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Ciment na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa Kuna baadhi ya...
1 Reactions
5 Replies
17 Views
Kindly refer to the heading above.. Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116] Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
51 Reactions
517 Replies
6K Views
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel...
8 Reactions
105 Replies
552 Views
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha. Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa...
8 Reactions
1K Replies
39K Views
Wachezaji ni kama kausha damu tu,msimu mzima ucheze nechi tatu na uikamue klabu milioni 300 za mshahara,usajiri na bonus,wastani wa milioni 100 kwa kila mechi. Je huu ni uungwana? Kwa nini timu...
1 Reactions
1 Replies
11 Views
Hello morning 🌞! Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira. Lakini utafiti wangu wa...
6 Reactions
44 Replies
404 Views
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
8 Reactions
43 Replies
628 Views
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth...
6 Reactions
59 Replies
1K Views
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake...
5 Reactions
29 Replies
346 Views
Huwa unamfuta mwenzako au mkishamaliza kila mtu atajijua. Hujui kumfuta mwenzako ni kitu kizuri, unaishika unaingeuza huku na huku ukimfuta akiwa ametandaza miguu yake au amenyoosha miguu yake...
11 Reactions
86 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,288
Posts
49,569,177
Members
667,845
Latest member
madoree
Back
Top Bottom