Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki. Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo).. Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana. Na wale tunaopishana...
11 Reactions
35 Replies
471 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Ukifika pale, huitaji kukagua vitabu vya orodha ya wageni kujua kuwa hoteli ina uhaba mkubwa wa wateja hasa wale wa kulala... Vyumba Vingi vina giza totoro ikiashiria kuwa viko tupu na pengine...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Position: Farm Manager Reports To: Director of Partnership and Program Development Basic Salary: 1,200,000/= Other benefits: Health insurance, airtime and meals/lunch Position overview The Farm...
0 Reactions
1 Replies
29 Views
KITETO: Kata ya Engusero Yapokea Ambulance 🚑 Mpya ya Kubeba Wagonjwa, Wananchi Wamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Wananchi wa Kata ya Engusero Jimbo la Kiteto wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
6 Views
Sitafuti kuwa mkamilifu kwenye Kiingereza, ila nimekataa kuwa chini ya "level" 5. Kuhitimu Chuo Kikuu si tiketi ya kuongea lugha kwa ufasaha. Hata wazawa wa "English" kuna ambao bado...
0 Reactions
11 Replies
127 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Shaaban Kissu MC wa Taifa ndiye the most paid Radio presenter so far, akiwa TBC Na sasa AMG Analipwa zaidi ya milioni tano kwa mwezi, sababu ya kuwa hivyo inatokana na kuwahi kuteuliwa kuwa mkuu...
21 Reactions
72 Replies
5K Views
Yaani sielewi Yani, hivi mnawezaje kuvumilia vishawishi vya nnje?? Yani nipo na mwanamke hapa nmelala nae lakini akili akili ipo Kwa kidada kimoja kizur cheupe chenye makalio mazuri nachokionaga...
12 Reactions
74 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,217
Posts
49,567,325
Members
667,812
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom