Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tukio hili lilitokea November 17, lakini limeibuliwa jana 4/5/2024 kama tukio jipya. Je, walioibua tukio hili na kusema ni ya karibuni walikuwa na nia gani? ===== Katibu wa baraza la vijana wa...
0 Reactions
15 Replies
75 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
9 Reactions
332 Replies
8K Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
11M Views
Hakika kutokana na Kiti cha Urais kukaniwa na CCM ni wazi CCM itatumia mbinu zote kuhakikisha inashinda Uchaguzi huo kama Hayati Magufuli alivyoukania URAIS na kuamua kuuvuruga Ule Uchaguzi ili...
0 Reactions
4 Replies
84 Views
Salaam mwana jf Dkt. Gwajima D ! Kuna ujumbe inbox, naomba kuwasilisha.
0 Reactions
9 Replies
65 Views
Habari! Hivi hii tabia ya wabunge kutohudhuria vikao bungeni iliyokithiri, inasababishwa na nini? Huo utoro nadhani madam speaker, bunge limemshinda kabisa au wabunge wengi hawaoni umuhimu wa wao...
2 Reactions
9 Replies
269 Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
64 Reactions
282 Replies
6K Views
Wakuu Habari za siku ? Natumai wengi ni wazima wa afya na wenye kuumwa mpate kupona na kuendelea na mapambano. Baada ya kuingia kwenye biashara ya urembo wa magari, kiukweli nimejifunza vitu...
2 Reactions
5 Replies
741 Views
KITETO: Kata ya Engusero Yapokea Ambulance 🚑 Mpya ya Kubeba Wagonjwa, Wananchi Wamshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Wananchi wa Kata ya Engusero Jimbo la Kiteto wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
3 Replies
64 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,233
Posts
49,567,630
Members
667,810
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom