Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bilionea William Mungai, Mfanyabiashara mwenye mafanikio kutoka Mafinga, amechukua fomu ya kugombea tena Uenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa. Ameomba tena Uongozi huo ili amalizie kazi yake ya...
20 Reactions
80 Replies
3K Views
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi. Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye...
7 Reactions
83 Replies
2K Views
Ofa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden 🇸🇪 na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora...
6 Reactions
67 Replies
2K Views
Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa...
1 Reactions
7 Replies
44 Views
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
20 Reactions
240 Replies
6K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa. Natumaini mko swafi na mnaendelea kuupiga mwingi. Bila kupoteza muda niende kwenye mada Kuna kautafiti binafsi nimekafanya ili kuona tofauti kati ya...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
Wengi ni weupe sana kwenye hizi newz. Nilikuwa naongea na mmoja hana hata habari ya uwepo wa kimbunga hidaya. Ukikuta wenyewe wametulia wanaangalia TV hapo lazima kuna; tamthilia, bongo muvi...
1 Reactions
11 Replies
150 Views
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu. Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo...
4 Reactions
15 Replies
115 Views
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada: Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu. Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione...
5 Reactions
52 Replies
764 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,897
Posts
49,558,701
Members
667,701
Latest member
zacharia erick
Back
Top Bottom