Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hizi Ndio habari mpasuko nilizopenyezewa hivi punde kwamba Muungano wa Vyama vya Demokrasia Duniani utatuma Waangalizi wake kwenye Baraza Kuu la Chadema litakalochagua Mwenyekiti wa taifa Ngoja...
0 Reactions
5 Replies
139 Views
Wanaukumbi. Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St. Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na...
4 Reactions
130 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko. Jana jioni mida ya saa moja nikiwa...
37 Reactions
255 Replies
15K Views
"Barnaba usijisahau kama umemuoa mtoto wa nani, unajua kabisa wewe ni mume wa mtu unaenda kupiga picha kama zile, umeweka mkono kwenye chup! ya mwanamke mwingine wakati unajua hiyo ni nguo ya...
2 Reactions
8 Replies
42 Views
Kwa mfano Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia alishiriki Birthday ya Mbunge Mstaafu wa Chadema Mbeya Mjini Bilionea Sugu kuna ubaya gani Sugu Kuomba hela ya Kampeni kwa mama Au pale Kanisani Machame...
2 Reactions
47 Replies
466 Views
Usishangae hata aliyekuwa kule bungeni yale makaratasi na Pdf yakawa bure kwake ,sio tu bungeni hata sisi tuliopo hapa tanzania bado tuna wakati mgumu sana. Aliyesema ukitaka kumficha mtanzania...
2 Reactions
2 Replies
23 Views
Sijawahi kutumia TikTok hapo kabla, ni jana tu nimejiunga huko mjini TikTok. Hii ni baada ya mshikaji wangu mmoja mara kibao amekuwa akiniambia kuwa kule kuna vichekesho ambavyo kama huna mbavu...
2 Reactions
13 Replies
68 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Kama mteja, uliwahi kukumbana na aina gani ya ugumu pale ulipohitaji msaada kutoka kwa huduma kwa wateja?
2 Reactions
13 Replies
201 Views
HAYA MAMBO SIJUI KAMA WANASOMAGA WANACHOANDIKA UNAAMBIWA ZIMA SIMU YAKO TAFADHALI PEMBEN UNAWEZA LIPIA MAFUTA VIA TIGOPESA..MPESA...VODA PESA... NIKISHAZIMA NALIPAJE A.A NATUMIA NGUVU ZA ZAGI,????
2 Reactions
2 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,758
Posts
49,554,420
Members
667,630
Latest member
petro isamba
Back
Top Bottom