Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jf salaam Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili). Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu! Na daima ni...
2 Reactions
19 Replies
287 Views
Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana...
3 Reactions
51 Replies
44K Views
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao. Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa...
2 Reactions
44 Replies
369 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
1 Reactions
92 Replies
1K Views
Wadada wa jf Mke wa mdogo wangu anampenda sana dogo, anaplay part zote za wife Na wamezaa watoto 2 Shida imeakuja miezi michache iliyopita ni kwamba shemeji hataki kufanya sex kabisa Dogo...
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Mimi najutia nilifanya investment badala ya kufanya savings. Mwisho wa siku biashara zimekufa sina savings hata moja. Najutia kutonunua viwanja pesa yote nikaweka kwenye miradi ambayo yote...
16 Reactions
37 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924. Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977...
21 Reactions
110 Replies
3K Views
Habari zenu wakubwa kwa wadogo. Kwanza napenda kutoa pole na shughuli za kutwa kwa wale wahangaikaji wote kama mimi ambao kila siku lazima tutoke ili tuweze kujipatia riziki halali kila siku...
78 Reactions
2K Replies
462K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeiamuru Benki ya CRDB kumlipa fidia ya Sh300 milioni Zawadi Bahenge kwa kutumia picha yenye sura yake kwenye matangazo ya kibiashara bila ridhaa yake. Pia...
10 Reactions
35 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,334
Posts
49,543,845
Members
667,407
Latest member
Masele mhunzi
Back
Top Bottom