Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeiamuru Benki ya CRDB kumlipa fidia ya Sh300 milioni Zawadi Bahenge kwa kutumia picha yenye sura yake kwenye matangazo ya kibiashara bila ridhaa yake. Pia...
14 Reactions
57 Replies
3K Views
Kwa niaba ya Waandaaji wa wiki ya Maandamano ya Amani (awamu ya kwanza) na kwa niaba ya Wapenda haki wote duniani, nachukua Fursa hii kuwashukuru watu wote kutoka pande waliowezesha Maandamano...
2 Reactions
5 Replies
93 Views
Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba...
11 Reactions
91 Replies
706 Views
Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amekiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paul Makonda ni spesho na ni akili kubwa kwelikweli kwani tangu ateuliwe mkoa wa Arusha umekuwa bize sana na kwa...
1 Reactions
8 Replies
79 Views
*Nina maumivu makali ya nyonga *Maumivu makali chini ya kitovu (kwa pembeni) *Mkojo ni wenye harufu mbaya kupita kiasi *Nilishaweka mkojo kwenye container, kesho yake nikakuta unatoa wadudu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Nililazimika kuwajulisha wazazi wake kwamba binti yenu ana hasira za mlipuko ili wajue mtu wa aina gani naishi nae hi ilikuwa simu ya pili anapasua kwasababu za kijinga eti kwanini sipokei simu...
5 Reactions
100 Replies
1K Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
3 Reactions
180 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Wakati Watanzania wanaendelea kula Dozi ya Ubongo( Brain Vitamins) kutoka kwa Wakili Nguli na Mpigania haki Mh Makamu Mwenyenyekiti wa Chadema kwenye ziara zake. Mh Lissu ambaye yuko ziarani ktk...
12 Reactions
35 Replies
801 Views
Watanzania mjue jambo moja tu. Tanzania Zanzibar hawakuanza kupewa nauli leo. Wafanyakaz Zanzibar walianza kupewa nauli zamani kidogo. Raisi Samia angalia hili
6 Reactions
50 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,421
Posts
49,546,163
Members
667,458
Latest member
Popa900
Back
Top Bottom