Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari, Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu. Sihitaji high return business bora nipate...
36 Reactions
260 Replies
16K Views
Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba...
6 Reactions
62 Replies
272 Views
Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach. Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao...
5 Reactions
48 Replies
659 Views
Wakati Watanzania wanaendelea kula Dozi ya Ubongo( Brain Vitamins) kutoka kwa Wakili Nguli na Mpigania haki Mh Makamu Mwenyenyekiti wa Chadema kwenye ziara zake. Mh Lissu ambaye yuko ziarani ktk...
9 Reactions
23 Replies
640 Views
Chidy benzi amesema nusu ya wasanii wa Bongo wa kiume wanalika akimaanisha kwamba ni "mashoga" Chidy benz angetaja list kabisa Video hii hapa👇🏻...
1 Reactions
68 Replies
2K Views
Nyoka hana miguu wala mikono, lakini halali njaa, na anatumia sumu yake kama silaha ya kujihami dhidi ya maadui zake! Kinyonga hana uwezo wa kupambana na viumbe wakubwa, lakini kwa uwezo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Camarades, na Wadau wa Mpira.., ni ukweli usiopingika kwamba Ligi yetu haina ushindani na Timu nyingi ni masikini na mashabiki hakuna kutokana na ushindani mdogo... Kwa ushauri ni kipi...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari wakuu, Straight to the point. Kuna ka kibanda kangu kamoja nilikajenga nikiwa nafanya kazi bagamoyo manispaa, ni ka jumba Ka vyumba viwili (vyote self), sebule, jiko na public washroom. NI...
0 Reactions
9 Replies
33 Views
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc Jini Sharif, Maimuna, etc Kwanini?
11 Reactions
68 Replies
473 Views
Mzuka wanajamvi Hii ndio Familia tajiri kuliko zote duniani. Ni familia Nahyan ya kifalme kutoka Falme za kiarabu UAE ambayo inahodhi biashara na siasa katika ghuba, duniani na ndio familia...
0 Reactions
10 Replies
60 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,399
Posts
49,545,772
Members
667,459
Latest member
Popa900
Back
Top Bottom