Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nchi hii Kuna mambo ya ajabu sana yanayoratibiwa na CCM. Tumewahi kuambiwa Kuna chawa wa CCM. Leo hapa Arusha waendesha boda-boda wanaitwa wadudu wa Rais Samia Suluhu Hassan nao wanashangilia...
0 Reactions
8 Replies
13 Views
ANAYOFANYA CHRISTINA SHUSHO NI MATOKEO YA WANAUME WENGI KUOA WANAWAKE WATUMWA "WASIOHURU. SIKU WAKIPATA UHURU WAO HAYO NDIO HUTOKEAGA. Anaandika Robert Heriel Mtibeli Huwezi mfanya Mwanamke...
5 Reactions
40 Replies
324 Views
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke...
76 Reactions
1K Replies
167K Views
Ndugu zangu Watanzania, Sina maneno mengi zaidi ya inavyosomeka hapo juu. Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania...
7 Reactions
48 Replies
571 Views
Hakika Wafanyakazi wa Tanzania ni wa kuhurumiwa mno! Kama mwaka uliopita ambako hakukuwa na Maandamano ya kupinga Ugumu wa Maisha Nyongeza ya Mshahara ikafichwa siku ya Mei mosi, kwa maelezo...
0 Reactions
3 Replies
125 Views
2013 model. Lipo katika hali nzuri. Bei 35mil Maelewano yapo kidogo Contact: 0784225000
2 Reactions
10 Replies
259 Views
Ni swali linaloniumiza Kichwa Hapa Arusha.. Kila nikiangalia Naona kabisa hakutakuwa na majibu ya Wafanyakazi Nchini zaidi ya Porojo.. Nilidhani Rais atakuja na Kujibu Hoja za wafanyakazi kama...
6 Reactions
28 Replies
625 Views
Salaam, Shalom! INTRODUCTON. Mungu ameweka sadaka kuwa kitu kinachoendeleza kipato Cha mtoaji maisha yake yote. (Luke 6:38) Yesu asema, wapeni watu vitu,nanyi mtapewa, kipimo Cha kujaa, na...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Hivi karibuni maafisa wa serikali ya Marekani mara kwa mara wamelalamika kuwa China inazalisha bidhaa nyingi kupita kiasi za kijani, zikiwemo magari ya nishati mpya, betri na photovoltaic, na...
5 Reactions
6 Replies
202 Views
Naona moto wa Chadema (Tundu Lissu) umewaka Tanzania nzima. Naona huu moto ni kama ule wa vijana wa Senegal Marais wa sasa (Rais na makamo wake) walivyo uwasha moto mpaka wakaingia ikulu ya...
2 Reactions
6 Replies
119 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,069
Posts
49,536,737
Members
667,316
Latest member
Mayenga54
Back
Top Bottom