Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna tetesi madini yamekuwa yakinunuliwa kwa kasi ktk mikoa ya Geita na Shinyanga na wafanyabiashara wasio wazalendo. Wafanyabiashara hao hupewa mitaji na serikali ya Rwanda japo wao ni...
13 Reactions
75 Replies
1K Views
NAMUNGO vs SIMBA | kabumbu itasakatwa leo saa 12:00 jioni katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi. Jongea kwenye uzi huu, kunyaka kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo. Unadhani nani...
4 Reactions
196 Replies
5K Views
Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda. Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa. Wanaotoa point za mchezo katika...
3 Reactions
7 Replies
359 Views
Katika mambo ambayo yamekuwa yakieleweka vibaya, kukanganya na pia kuzua dhihaka kutoka kwa watu wasioipenda Israel ni pamoja na hili la kupewa misaada wa jeshi/ silaha na Marekani pamoja na kuwa...
6 Reactions
75 Replies
1K Views
OCTOBER 7..... Wapalestina wakifurahia kwa kuwapiga waisrael waliotekwa Mitaa ya Gaza waplestina wakifurahia jaribio lilioanza la kuisafisha israel te Shange mitaa ya London, Uingereza...
0 Reactions
9 Replies
192 Views
Hili chama chakavu mtaji wake uliokuwa umebaki kidogo ni watu wa vijijini, sasa nao wamechoshwa na hili chama chakavu naomba wahusika wa wizi wa kura waongezwe idadi ya kutosha ili ule ushindi wa...
0 Reactions
10 Replies
56 Views
Sawa inatokea umesababisha ajali umeua binadamu mwenzako umekimbia kukwepa kwenda jela na umebahatika hakuna aliyekuona. Huko nyumbani kwako utaishije? Unaingia mtandaoni unaona maelfu ya watu...
2 Reactions
33 Replies
525 Views
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea. Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza. King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
7 Reactions
54 Replies
3K Views
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye Sheria inayoruhusu Adhabu ya Viboko kwa Wanafunzi Shuleni licha ya adhabu hiyo kutajwa na kupigwa marufuku kwenye takriban Mataifa 51 ikielezwa kuwa ni ya...
3 Reactions
29 Replies
374 Views
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro...
16 Reactions
76 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,903
Posts
49,531,668
Members
667,270
Latest member
peter one
Back
Top Bottom