Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana...
3 Reactions
50 Replies
44K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
28 Reactions
197 Replies
5K Views
Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao. Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikua kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa...
2 Reactions
40 Replies
224 Views
Makonda aisisitiza GGML kuhakikisha CSR inabadilisha maisha ya wana-Geita - MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha...
3 Reactions
6 Replies
37 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
1 Reactions
89 Replies
873 Views
Mnajua Mfike Mahali Mumuogope Mungu, hii ni Roho ya mtu asokuwa na hatia, ilopotewa, Kwa Kuchinjwa , Tena Kuchinjwa na kutenganishwa Kichwa na Kiwiliwili. Maumivu aloyapata marehem, wakati...
36 Reactions
162 Replies
9K Views
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924. Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977...
20 Reactions
109 Replies
3K Views
Mwenyekiti UVCCM Kagera Farisi Buruhani akiwa kwenye ziara yake wilayani Muleba. Wakiwa kwenye mwendo wa hali ya juu. Walikutana na wanafunzi wakitoka shuleni majira ya saa Tisa Mchana. Gari...
3 Reactions
11 Replies
737 Views
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT VACANCY ANNOUNCEMENT 1.0 BACKGROUND INFORMATION On behalf of The Planning Commission (PC), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS), Invites...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,331
Posts
49,543,780
Members
667,407
Latest member
Masele mhunzi
Back
Top Bottom