Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Russia leo imefungua maenesho rasmi ya silaha na zana za kivita wanazoteka huko Ukraine kutoka nchi za magharibi. Hii lwa upande wangu dharau kubwa sana na kwa jicho la mbali hii vita hata wampe...
0 Reactions
4 Replies
180 Views
  • Sticky
Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com...
169 Reactions
201K Replies
11M Views
Leo Kuna mtu kanipigia simu nikakumbuka tukio Moja miaka kama 10 imepita Kipindi hicho ujana mwingi+ tulikua wajanja wajanja tumeshika shika vipesa si haba, npo dsm Kuna jamaa yangu ye hata tungi...
1 Reactions
4 Replies
13 Views
Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama...
15 Reactions
114 Replies
4K Views
Kuna hizi blender zinaitwa SILVER CREST zinauzwa bei rahisi sana hadi 55,000 alafu wanaziita Heavy duty, kwanini zinaonekana bei rahisi sana lakini zinauwezo mkubwa, Wataalumu mnipe siri kuhusu...
1 Reactions
1 Replies
64 Views
Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho ' The Manipulated Man by Esther Vilar (1971)' Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi...
4 Reactions
30 Replies
209 Views
Haya bhana, kila la heri, kocha wa ngapi sijui huyu anaondoka lakini Matola kabaki kisiki cha mpingo. Ngoja tuone .
1 Reactions
15 Replies
223 Views
Kwa wapenzi wa Bollywood na matawi yake tungejikusanya hapa kupeana mawili matatu
2 Reactions
71 Replies
3K Views
Mimi si dakari wala mtaalamu wa mambo ya lishe, bali nimejaribu kusoma vyanzo mbalimbali kuhusu huu ugonjwa na kote nilikupita sijaona palipoandikwa moja kwa moja kuwa sukari ndio chanzo cha...
1 Reactions
12 Replies
13 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,336
Posts
49,516,355
Members
667,078
Latest member
Tabakha
Back
Top Bottom