Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna baadhi yetu tunapenda sana kujua hizi rank za jeshi,pamoja na alama zake! Lakini wakati mwingine inakua ngumu kuzitambua au kuzijua kutokana na mifumo ya jeshi letu na teknolojia ndogo...
56 Reactions
796 Replies
486K Views
Binadamu tumeumbwa kusahau. Ngoja niwakumbushe mambo mawili matatu ambayo yaliibadilisha Simba kutoka katika mkwamo iliokuwa nao. 1. Tunasahau Simba ilikuwa inacheza hadi dakika ya 60 inakata...
4 Reactions
12 Replies
404 Views
Katika MAISHA ya siasa unabidi kuelewa ubora wako unategemea na ubora wa mpinzani wako. Unapomgeuza mpinzani kuwa adui unabidi kujua unaenda kujiua na kujiangamiza. Adui -ni yule anayepambana...
9 Reactions
33 Replies
555 Views
Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za...
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Ng'ombe tayari wamenunuliwa wake Mecco nyumbani kwa Khalid Bitebo wakichungwa mara ya mwishomwisho. Kesho asbh na mapema watu wanaanza na supu then dude lenyewe mida ya mchana. Kiingilio ni uzi...
2 Reactions
21 Replies
456 Views
Wana Jf Naomba nitoe wito kwa kina dada ambao bado mama zao bado wako hai au mama wazazi wanao walea au ndugu wa karibu kama walezi ili wajifunze naswala mengi ya muhimu ya ndani, imekuwa aibu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Unapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida. Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024...
4 Reactions
27 Replies
876 Views
Droo ya robo fainali ilipotoka nilishangaa watu kuwaogopesha yanga kuwa mamelodi watawafunga na kuwapongeza Simba kuwa wamepangwa na vibonde. Ashakhum si matusi, mashabiki wabongo pamoja na...
12 Reactions
68 Replies
2K Views
Unapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu. Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au...
9 Reactions
30 Replies
391 Views
Huyu rafiki yangu nilimtembelea nyumbani kwake Dar es salaam. Mimi nilikuwa nafanya kazi Mtwara na nilikuja Dar ili niunganishe usafiri wa kwenda kwetu Musoma. Nyumbani kwa rafiki yangu...
40 Reactions
112 Replies
14K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,308
Posts
49,514,968
Members
667,061
Latest member
latifeh6243
Back
Top Bottom