Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nawauliza kwa wema tu nyie wanaume wenzangu. Huo ujassiri wa kuoa mke mwenye mshahara mnautoa wapi? Sababu zenu ni dhaifu eti maisha kusaididiana, au ukifa watoto wasiyumbe. Ahahahah Nyie si ndio...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi...
3 Reactions
43 Replies
465 Views
Timu ya KenGold kutoka Mbeya imekuwa timu ya kwanza kupanda Ligi kuu ya NBC premiership. KenGold yenye Makao yake Chunya Mbeya imefikisha pointi ambazo haziwezi kupigwa na timu shindani hivyo...
6 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu nataka nikapumzike Cape Town kama siku 3 hivi. Ndege gani nitapata ticket cheap? Nimechek Rwandair, Ethiopian na Kenya Airways Direct flight to CPT ni maumivu matupu.
0 Reactions
14 Replies
203 Views
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba Hajui kutumia...
0 Reactions
9 Replies
105 Views
  • Sticky
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
15 Reactions
16K Replies
2M Views
Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa. 1. ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari. na wanakupa tiket. 2. ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa...
1 Reactions
13 Replies
179 Views
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na...
10 Reactions
83 Replies
2K Views
Mzuka Wanajamvi! 2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali. Nilibezwa na...
4 Reactions
31 Replies
630 Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mwenzatu mwanadada yamemkutaaa. Mama wa watoto 2 wa utotoni, 27 years 2 kids. Mumewe...
15 Reactions
113 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,376
Posts
49,517,506
Members
667,092
Latest member
Kevin bravo
Back
Top Bottom