Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
924 Reactions
1M Replies
40M Views
Salaam, Shalom!! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
18 Reactions
144 Replies
2K Views
Nimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu. Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC...
15 Reactions
145 Replies
6K Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
38 Reactions
125 Replies
3K Views
Askari polisi wa Tanzania wamekuwa chanzo cha maumivu ya watu na familia nyingi sana hapo bongo , ni ajabu iliyoje kuona chombo cha dola ambacho ndio kilipaswa kuwa mstari wa mbele kulinda raia na...
92 Reactions
293 Replies
17K Views
Salaaam Wachumi Rejea mada hapo juu Je upi ni uwekezaji ulio bora endapo katika harakat zako za utafutaji ukajaaliwa umeishika 30Mil cash Na option ukawa umeweka ni hizo mbili kati ya kuwekeza...
9 Reactions
80 Replies
6K Views
Dar es Salaam Dar es Salaam Dar es Salaam, Jiji la pili kwa ukubwa Afrika Mashariki. Limetajwa katika tungo za nyimbo kibao na wasanii wa kila kizazi.Jiji lenye mjumuiko wa makabila yote 126 napa...
1 Reactions
16 Replies
213 Views
Wakuu kwa mwenye season ya kikorea inayoitwa THE HEALER main theme anisaidie maana nimeitafuta kwa kipindi kirefu bila mafanikio Nimeitafuta YouTube wameifuta msaada wakuu
0 Reactions
4 Replies
235 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
karibuni HUDUMA YA KUHAMA, mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mkoani. Huduma zetu ni pamoja na; [emoji117]kufunga na kufungua vitu tunapofika unapohamia [emoji117]kupanga vitu mahala pake...
12 Reactions
389 Replies
10K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,129
Posts
49,509,126
Members
666,981
Latest member
nyamwitanga
Back
Top Bottom