Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa maslahi mapana ya nchi, nilipandisha uzi mzito, wenye ukweli Mwingi na uliojitosheleza, https://www.jamiiforums.com/threads/moto-ndani-ya-chadema-lissu-afyatuka.2208374/ Lakini kwa bahati...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho ' The Manipulated Man by Esther Vilar (1971)' Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi...
3 Reactions
13 Replies
75 Views
Naitwa cecylia ni Agent nafanya clearing ya magari na container kwa bei nzuri bandarini. Nafanya importation, exportation na pia nauza magari used na chassis no. Nauza magari ya mnada bandarini...
1 Reactions
8 Replies
111 Views
  • Sticky
Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com...
169 Reactions
201K Replies
11M Views
Hii sio afya kwa mafanikio ya wenzetu mbumbumbu, muda mwingine inabidi kuwapa ushauri tu ambao mnaweza kuchukua ama kuuacha ikiwapendeza kwa maana akuna Yanga Bora bila Simba imara na akuna Simba...
4 Reactions
24 Replies
457 Views
Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama...
15 Reactions
113 Replies
4K Views
Yani kabla ya mwisho wa mwezi nakuwa na mipango mingi sana tena ya maana mnoo. ila ukifika tu huo mwisho wa mwezi hela inavyopukutika sasa, hata sielewi. Mitungi jamani mitungi jamani...
5 Reactions
64 Replies
553 Views
Habarini wakuu, Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini. Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha...
6 Reactions
15 Replies
251 Views
Ni mengi yanapita kwenye huu uhusiano, najitahidi kufanya kazi kwa bidii kuimprove standard lakini mwandani wangu ni kama kwake ni tofauti. Mara nyingi kwenye mikusanyiko ya umma ni kama anaona...
17 Reactions
77 Replies
913 Views
Kwanini baadhi ya watu wanakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi yani unaweza kukutana na mtu ana vipaji vingi ukastaajabu na uwezo wake aliojaaliwa?
4 Reactions
40 Replies
686 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,333
Posts
49,516,221
Members
667,070
Latest member
shedlib
Back
Top Bottom