Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nauliza kwa upole, tujadiliane bila jazba. Sidhani kama kuna mwanaume mwenye mpenzi au mke mmoja tu. Katika marafiki zangu milioni moja huyo mtu hayupo, labda useme huko hali ipoje. Nimejaribu...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
  • Poll
Jf amani iwe nanyi. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oct 2030, 77% ya wapigakura wote watakuwa ni Vijana wa 2000s` Mrithi sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya CCM lazima awe ni mgombea...
1 Reactions
39 Replies
343 Views
Kwa jamii zetu za kitanzania ni suala la kawaida Kwa wazazi wetu kukushauri masuala ya future especially ndoa. Kwa kukuambia makabila ya kuoa/ kuolewa nayo ...ukiachana na wale wa kishua ambao...
18 Reactions
474 Replies
27K Views
Salaam, Shalom!! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
15 Reactions
111 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Mwamba Paul Christian Makonda ndio maana anapendwa sana na wananchi wanyonge na wa hali ya chini wenye maisha ya kawaida na ya kutafuta mkate na chakula kila siku pale jua...
0 Reactions
18 Replies
177 Views
Habari wakuu, Niwatakie heri ya sikukuu za Muungano, Leo katika hutuba ya Rais nimeskia amepongeza kuona mwanamke akiwa katika kikundi cha Bendera. Ifahamike kikundi hiki hakijawahi kuwa na...
3 Reactions
18 Replies
375 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
261 Reactions
425K Replies
15M Views
Waliosoma Cyber watueleze ili na wanasheria.Mfano nina kitecno changu nimesambaza taarifa kimakosa au sio makosa inakuwaje waende nyumbani kupekuwa wakati kilicho fanya kosa au si kosa ni simu na...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Kama mnavyojua tupo kwenye msimu wa mvua kubwa zinazonyesha ukanda wote wa Africa. Lakini mvua hizi zimekutana na tamasha kubwa la kihistoria ambalo atatumbuiza msanii namba moja Africa yani...
6 Reactions
11 Replies
496 Views
Mrisho Gambo ameongoza maandamano ya madiwani, wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata. Kwa ufahamu wangu watendaji wa kata ni watumishi waajiriwa wa serikali kama walivyo waalimu sambamba. Je...
3 Reactions
5 Replies
192 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,035
Posts
49,504,515
Members
666,928
Latest member
Maxnnko
Back
Top Bottom