Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
8 Replies
155 Views
Habarini wakuu, Ukiacha advertising platform kama facebook , instagram na twitter nani yupo familiar na google ads namaanisha vitu kama gharama, namna ya kudeliver na vitu vingine muhimu Maana...
0 Reactions
3 Replies
49 Views
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo, Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu...
25 Reactions
93 Replies
2K Views
Ndugu yangu ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu nae kamwe usioe mtoto wa single mother huyu hawezi kumudu changamoto za ndoa. Akipata changamoto kidogo tu atakuacha akiamini anaweza kuishi bila wewe...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Madereva wa Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara hii ya usafiri na endapo kampuni hizi hazitachukua hatua basi zitakufa hivi karibuni -Madereva hawa huwa wanachelewa sana kumfwata mteja...
8 Reactions
12 Replies
229 Views
Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana? Wajuzi karibuni. Asante sana.
4 Reactions
32 Replies
463 Views
Mwanzoni sikuwa naamini kuwa ushoga unashika kasi kubwa nchini Tanzania mpaka pale nilipoanza kufuatilia baadhi ya mabadiliko mitaanj na kwenye mitandao ya kijamii. Kati ya mitandao ya kijamii...
2 Reactions
3 Replies
22 Views
  • Sticky
Full name: Liverpool Football Club Nickname(s): The Reds Founded: 3 June 1892 League: Premier League Website: LiverpoolFC.com Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
124 Reactions
143K Replies
7M Views
Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busungu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo. Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee...
1 Reactions
13 Replies
166 Views
Habari wakuu naomba mwenye viranga vya kuku wa kienyeji anaeuza tuwasiliane ,niko Mwanza.
1 Reactions
17 Replies
931 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,957
Posts
49,501,836
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom