Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

"Ex Anakusumbua? Jifunze Jinsi ya Kumwacha Aende! Ever feel stuck, haunted by an ex who won't let go? It's tough, especially when building a new relationship. Moving on isn't easy. There might...
0 Reactions
2 Replies
5 Views
Kwa mimi binafsi naona 1.Nikki mbishi wa tamaduni muzik 2.Leonardo wa cheka tu Taja wa kwako
2 Reactions
41 Replies
247 Views
Majuzi kati kada mtiifu sana wa ccm na chawa mkubwa wa bashite, mara baada ya bashite kuhojiwa na kamati ya maadili ya chama chetu alileta bandiko huku akisema. Mwamba Bashite ataongea na...
13 Reactions
37 Replies
439 Views
Namwona Eric Omond ni mtu mwenye moyo sana. Namwona kama mtu anayeishi maisha halisia kabisa. Hata komedi zake hazina uongo uongo kabisa. Ukiangalia hii video unaweza toa machozi. Jamaa ana...
1 Reactions
8 Replies
14 Views
Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
209 Replies
8K Views
Wakuu, Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea...
2 Reactions
63 Replies
2K Views
kuna hii fursa imejitomeza huko TAESA, nimeona nisiwe mchoyo ni waletee humu ili MADEREVA wenye vigezo mkajaribu bahati yenu hii fursa bwana ni mkataba wa mwaka mmoja. kama upo Dar es salaam...
1 Reactions
1 Replies
68 Views
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini. Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi. Baada ya kusolve na...
1 Reactions
20 Replies
294 Views
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka...
23 Reactions
200 Replies
4K Views
Ajira ngumu, Kupoteza muda, Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara. Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo) Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na...
26 Reactions
205 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,776
Posts
49,494,647
Members
666,823
Latest member
jay_mtani
Back
Top Bottom