Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu nadhani ni muda wa vyombo vya usalama kuamka na kuchunguza walio nyuma ya Lissu na nia ovu kupitia suala la Muungano. Anachokifanya Lissu kipo kimkakati sana na hadi sasa naona kafanikiwa...
-1 Reactions
82 Replies
2K Views
Ukiachana na 'wadudu', wachekeshaji wengi wameenda shule. Hii tasnia imeonekana kustawi vema miaka ya hivi karibuni. Ni katika kutelekeza kaulimbiu ya Serikali yetu ya kuwataka wasomi wajiajiri...
2 Reactions
8 Replies
279 Views
Tuwekane sawa #Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu. #Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa...
2 Reactions
5 Replies
23 Views
Salaam, Shalom!! Amesikika Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA Mh TUNDU Lissu akitajadharisha wanachama wa CHADEMA kuwa makini sababu tayari Kuna pesa zimeingia kuchafua chaguzi ndani ya chama. Amedai...
1 Reactions
11 Replies
143 Views
Awataka wabunge wa Zanzibar kuanzia sasa wachangie Wizara zinazowahusu, Awataka wawe wanatoka nje pale bunge linapojadili mambo yasiyo ya Muungano, sio wanatujazia foleni ya kuongea hata kwa mambo...
11 Reactions
231 Replies
25K Views
02 May 2024 Iringa, Tanzania Mazito yawekwa hadharani pesa za Samia na Abdul .... hazipelekwi kunakohusika zimeelekezwa CHADEMA kwanini wakati viongozi wa ngazi za chini CCM walio maelfu wanalia...
3 Reactions
10 Replies
349 Views
Habari wapendwa, Jina langu naitwa Jerry, najihusisha na biashara ya uuzaji wa magari ambayo yametumika Tanzania, kupitia uzi huu ntakuwa naweka magari mbalimbali ambayo nmekabidhiwa na wahusika...
7 Reactions
2K Replies
213K Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2-Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3-Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji lenye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hahahaaaa taja faida kwa ñini unaishi single!
1 Reactions
33 Replies
314 Views
Serikali yetu imeacha hawa wezi watusumbue. Naapa kuwashitaki. Kunakampuni nyingi kwenye mitandao inachukuq taariza maskini watanzania na kuwakopesha kwa nguvu huwadai pesa nyingi kama rejesho...
0 Reactions
9 Replies
46 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,539
Posts
49,549,479
Members
667,539
Latest member
manageble
Back
Top Bottom