Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu maisha sio kutafutana, maisha ni kutafuta, mwanaume kama huna pesa, basi niseme maisha yako yatakua ya hovyo na utakufa ukiwa na uchungu sana.. Safari ni ndefu sana iliyojaa tabu...
19 Reactions
95 Replies
13K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Nchini Tanzania, na Afrika kwa ujumla kumekuwa na dhana potofu ya kufikiri kwamba kila mtu mkubwa (kimamlaka) anapokuwa amekufa, basi anakuwa ameuwawa aidha na baadhi...
5 Reactions
16 Replies
335 Views
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
2 Reactions
7 Replies
73 Views
Ananisilimulia best yangu mmoja siku nyingi zilizopita " nilitoka na madam kwenda nae kwao mume wake alikuwa hayupo, akatoa godoro chumbani kwao na kuja nalo sebuleni na tukamalizana" mwisho wa...
3 Reactions
8 Replies
256 Views
Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani Makonda...
5 Reactions
45 Replies
860 Views
Kuna baadhi yetu tunapenda sana kujua hizi rank za jeshi,pamoja na alama zake! Lakini wakati mwingine inakua ngumu kuzitambua au kuzijua kutokana na mifumo ya jeshi letu na teknolojia ndogo...
56 Reactions
794 Replies
486K Views
Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Credit by crown media #CrownSports ---- Kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Eti wakuu? Kuachia ushuzi mara kwa mara ni tatizo au dalili ya tatizo la kiafya? Tusemezane
1 Reactions
8 Replies
107 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,305
Posts
49,514,862
Members
667,059
Latest member
latifeh6243
Back
Top Bottom