Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

"Kuna clip moja mimi nimeipata, Rais Samia alipokuwa madarakani Lissu alisema Rais Samia amebadilisha upepo wa siasa, nilikuwa na kesi 6 za hovyo hovyo zimefutwa na mama anafanya kazi nzuri. Sasa...
0 Reactions
7 Replies
173 Views
Naandika kwa mara ya nne. TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya nchini Tanzania walipata ufadhili na World Bank (WB) kuajiri watumishi wa afya ajira mkataba wa miaka mitatu. Wamejitahidi...
1 Reactions
28 Replies
523 Views
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa...
1 Reactions
26 Replies
365 Views
Alfajiri ya kuamkia leo jeshi la Israel kwa kutumia vifaru na mashambulizi ya anga wamefanikiwa kufikia kituo cha mpaka wa Gaza na Misri na kukishikilia kituo hicho kutokea upande wa Gaza. Mara...
0 Reactions
19 Replies
356 Views
Tokea saa 12 hatuna umeme kwenu jee Kwenu umeme upo?Kuanzia mbezi,kibamba goba hadi Ubungo maeneo mengi hayana umeme Hili shirika daaah
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua. Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua...
17 Reactions
60 Replies
1K Views
Wadau nawasabahi. Uchaguzi ndio huo unakaribia. CHADEMA wameshinda pambano lao dhidi ya Halima Mdee na kundi lake kwa kuishawishi Mahakama Kuu kuthibitisha uhalali wao wa kuwafukuza Halima Mdee...
3 Reactions
58 Replies
887 Views
1.hakikisha una mmudu hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari...
18 Reactions
86 Replies
1K Views
-Habari za kazi viongozi, nisiwachoshe niende moja kwa moja katika swali langu. -Nimekuwa msikilizaji wa nyimbo za kibongo hasa kizazi kipya. nilijipa mda kusikiliza nyimbo zilizotengenezwa na...
0 Reactions
5 Replies
100 Views
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana...
7 Reactions
64 Replies
878 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,002
Posts
49,591,858
Back
Top Bottom