Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kumetokea wimbi la maandamano kwenye vyuo vikuu nchini Marekani kupinga mauaji ya wapalestina yanayoendelea Gaza. Serikali inatumia askari polisi kuzuia waandamanaji wanaotumia haki yao ya...
11 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu, Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea...
2 Reactions
85 Replies
2K Views
Hatuko serious kwenye tasnia ya filamu yaani nchi yote hii wasanii wameshindwa kuja na idea ya movie ikachezwa mlima kilimanjaro au serenget au ngorongoro. Isiwe kipande tu iwe movie yote full...
1 Reactions
23 Replies
236 Views
Malaika aitwaye Makerubi alikuwa na kazi ya kumsifu Mungu Mbinguni, sifa kubwa ya malaika hawa huwa na mbawa sita ambazo mbili zina uwezo wa kumfunika mwili mzima. Kwa nini Mungu aliwaumba? Mungu...
0 Reactions
3 Replies
61 Views
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya...
6 Reactions
62 Replies
1K Views
Hongera kwa Kila Raia wa Tanzania kwa kukuza Uchumi wako binafsi, Hii GDP inapatikana kwa kugawa jumla ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kwa jumla ya Idadi yetu. #Samia hakamatiki ==== Below are...
19 Reactions
105 Replies
2K Views
Wakuu mimi nikijana mdog tu sana hata 22 sijafika najitegemea ila nimepatwa na hili janga choo nakiona kuzimu kila nikibanwa na gogo natamani nijifiche Kwanza mimi sio mlaji sana haswa...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara . Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa...
1 Reactions
13 Replies
365 Views
Niliandika hapa hapa JamiiFoums na tena mwaka huu huu kuwa ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo atakataa kuwa Yanga SC inaenda tena kuwa Bingwa wa NBC Premier League kwa mwaka wa Tatu mfululizo na...
2 Reactions
8 Replies
233 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,790
Posts
49,495,164
Members
666,823
Latest member
jay_mtani
Back
Top Bottom