Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35. Kwenye harakati za utafutaji nilijarbu vitu kadhaa wa kadhaa ili kufikia ndoto. Nilkua mcheza Dance nikaacha nikawa mchoraji nikaacha, nikawa mcheza soka...
8 Reactions
21 Replies
263 Views
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote...
12 Reactions
80 Replies
2K Views
Hoja kwenye mdahalo ziwe 1. Muungano 2. Katiba Mpya 3. Nani kati ya Zanzibar au Tanganyika ananyonywa na mwenzake. CHADEMA wampeleke Lissu Tundu na CCM wampeleke Kinana awe pia na wasaidizi...
3 Reactions
29 Replies
739 Views
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama...
6 Reactions
17 Replies
429 Views
Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka.. Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online. Nifanyaje...
3 Reactions
25 Replies
140 Views
Tangu utaratibu wa ushuru wa maegesho uondolewe TARURA na kupelekwa katika halmashauri umegeuka kuwa wizi wa wazi wa serikali dhidi ya wananchi wake. Mawakala wa halmashauri wanaohusika na...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Habari zenu wakuu. , Bila kusema mengi Modes huu Uzi ni WA tech sio wa matangazo madogo madogo Wala biashara ! Nahitaji google play console yule alie nayo au nazo ofa yangu ni laki tatu ! Ila...
0 Reactions
5 Replies
68 Views
  • Suggestion
BETTING KUUA TAIFA LA KESHO Michezo ya kubahatisha maarufu kama 'kubet' ndiyo habari ya mjini kwa sasa. Ukiacha aina mbalimbali za michezo hiyo zilizokuwepo kwa miaka mingi na katika maeneo...
0 Reactions
4 Replies
71 Views
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana. Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege...
31 Reactions
136 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,681
Posts
49,581,530
Members
668,117
Latest member
Nunuu ali mohd
Back
Top Bottom