Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Suggestion
Hivi karibuni nyuzi zangu nyingi zimekuwa zikielezea hali halisi ya maisha yangu. Moja wapo ya uzi uliokuja kuokoa maisha yangu ni ule...
1 Reactions
2 Replies
65 Views
Wazanzibari kwa umoja wao wanataka utaifa wao utambulike kimataifa, wanataka sarafu yao, wanataka makabila yao na wanataka ardhi yao. Wazanzibari wanataka Zanzibar na siyo Dodoma na wanataka...
1 Reactions
7 Replies
76 Views
Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia...
24 Reactions
154 Replies
2K Views
Uongozi wa Simba SC tafadhali mpeni mazima Timu Kocha Mgunda na Mshahara mnono atatufikisha mbali sana Ok?
1 Reactions
1 Replies
6 Views
Once again tunakutana kwenye mchezo bora huu hapa. Tukapate kumsoma secret agent mmoja ambaye alikuwa assigned kuwa mlinzi wa raisi. Lakini baadae anagundua kwamba mfumo hauko sawa na yeye ndiye...
5 Reactions
88 Replies
19K Views
Samahani na mdogo wangu hapa kapangiwa comb HGK ila anataka kuhamia PCB wakati huo ana C ya Chemistry, Bios ana C ila Physics ana D. Je, anaweza kuhama kwenda comb hiyo ya PCB?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu, Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama Milioni 40 Na sasa nataka kubet kwenye kilimo Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu...
55 Reactions
299 Replies
40K Views
Nimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi Hakuchukua muda mrefu Chuma inayoshikilia tairi limekatika
2 Reactions
76 Replies
2K Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria...
16 Reactions
240 Replies
2K Views
Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!. yeye akilewa ni amapiano Tu!. atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi...
12 Reactions
53 Replies
735 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,865
Posts
49,587,820
Back
Top Bottom