Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Watu wengi wamekua wakijiuliza kwa nini siku hizi night clubs zinakufa sana, mfano Maison na nyinginezo hapa Tanzania. Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao...
1 Reactions
6 Replies
87 Views
Katika CCM ya sasa watu pekee ambao naweza kusema wana maarifa na uwezo wa kuweza kujibu hoja nzito za wapinzani na Watanzania ni Makamu Mwenyekiti wa chama Ndug. Abdulrahman Kinana na Katibu Mkuu...
1 Reactions
4 Replies
172 Views
Taarifa mpya inaonyesha kwamba, Baada ya Maandamano ya Wiki nzima ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za uchaguzi, yaliyoandaliwa na Chadema kwenye baadhi ya maeneo kufanikiwa kwa 100%...
4 Reactions
22 Replies
269 Views
Huyu jamaa ni shida..... Ameshindikana. Kila mtu amejaribu lakini kashinwa. Fatma kanyamaza kabisa baada ya kujibiwa na Lissu. Kimefanyika kikao kujadili hoja zake wakaamua kumtuma Kinana. Naye...
1 Reactions
12 Replies
162 Views
Godbless Lema ameandika ukurasani X Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee
0 Reactions
1 Replies
21 Views
Habari zenu, kuna fursa nimepata nzuri sana ila sina capita ya kutosha iko ivi. Kuna jamaa anafanya kazi kampuni fulani ya mafuta ya kupikia, yaani kiwanda kipo nchi fulani kisha Tz kuna brach...
5 Reactions
21 Replies
473 Views
A
Anonymous
Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inaombwa kuchunguza na kuchukua hatua ya uvunjifu wa haki za watumishi wa umma katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya...
0 Reactions
1 Replies
12 Views
Kama umemsikiliza Mzee Kinana mwanzo mwisho utakubaliana na mimi kuwa Lissu na CHADEMA wana hoja na Mzee Kinana hoja zake ni dhaifu sana kwa mazingira ya hapa kwetu Sent from my TECNO P704a using...
1 Reactions
8 Replies
137 Views
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
6 Reactions
82 Replies
1K Views
Zilikuja Mafia kuvua boti za fery Dar mpaka sasa bila bila huku watu wa fery poleni.
6 Reactions
58 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,396
Posts
49,572,433
Members
667,903
Latest member
kipscalich
Back
Top Bottom