Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana Nawatakia Dominica Njema 😄
0 Reactions
14 Replies
39 Views
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana. Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege...
6 Reactions
29 Replies
325 Views
Alizaliwa akiwa mzima wa afya na mwenye viungo vilivyotimia Kazi yake ilikuwa ni dereva wa malori, mwaka 1971 alipata ajali mbaya sana ya gari hali iliyompelekea kupata ukipofu na ukiziwi. Ikawa...
3 Reactions
4 Replies
10 Views
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth...
6 Reactions
53 Replies
1K Views
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel...
8 Reactions
91 Replies
411 Views
Makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza baada ya miezi sita ya mapigano makali yamekuwa magumu kufikiwa baina ya Hamas na Israel. Hata hivyo kutokana na kuelemewa kwa Marekani na Israel na...
3 Reactions
17 Replies
422 Views
Kama unataka kuwa mwanasiasa maarufu Tanzania basi wewe onesha unapambana na CHADEMA. Kuna wakati Mzee Wasira aliomba kura ndani ya CCM kwa hoja kwamba yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na...
11 Reactions
67 Replies
873 Views
JE UNAJUA?? Mashariki mwa nchi ya Siberia wanaume wanabadilishana wake zao ili kuepuka mambo ya imani ya kishirikina?? Kwa imani yao wanaamini Ukifanya hivyo una mchanganya mtu mwenye nia ya...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Pamoja na juhudi zote anazozionesha uwanjani, Rastamani analamba 4m tu, ila yule mmakonde ambaye anasugua benchi analamba mil 25.. Rastaman ameona mchango wake hauthaminiwi hivyo kaamua kusinya...
10 Reactions
15 Replies
387 Views
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake...
5 Reactions
24 Replies
278 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,288
Posts
49,569,177
Members
667,845
Latest member
madoree
Back
Top Bottom