Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi Nikaona ni vema...
8 Reactions
118 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
  • Suggestion
Miundombinu ni miongoni mwa sekta ya msingi ambayo serikali inahitaji kutazamia kwa ukaribu zaidi kutokana na mchango wake katika maendeleo ya nchi. Kwa muktadha huo ipo haja ya kufanyika...
1 Reactions
1 Replies
11 Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
96 Reactions
501 Replies
13K Views
Habari za muda huu wana jamvi Naandika uzi huu nikiwa kwenye daladala nikirejea nyumbani kutoka kwenye "mihangaiko" ya Kila siku Ndani ya daladala nmekaa karibu na wakina mama wawili...
11 Reactions
27 Replies
692 Views
Khabarini wana jukwaa. Mwaka 2021 nilikutana na dada mmoja mzuri sana, mrembo, mwenye kuvutia na mpole sana ambaye mwanaume yeyote mwenye akili timamu lazima tu angempenda. Basi nikafanya...
25 Reactions
392 Replies
12K Views
Kwamba Mke wa Madeleka anadai kaoteshwa kwamba kina Bashe,Makonda na Makamba Jr wanatakiwa kufurushwa Uwaziri au wafurushwe na Rais Kwa sababu Wana malengo ovu ya Kisiasa Kwa Nchi na Rais...
0 Reactions
4 Replies
12 Views
Ukiangalia mitume wale 12, Yesu hakuna aliyeoa ndio maana petro alimwambia Yesu wajenge vibanda ili waishi pale Mlimani Yesu alipogeuka sura. Yesu mwenyewe hakuwa na mke japo wanamfanasha na...
1 Reactions
14 Replies
194 Views
Kama ni mfatiliaji mzuri wa hip hop, nadhani Utakuwa umesha Iona hii. Ila Kama bado, story Ina anzia Mwaka Jana ambapo drake na j Cole wali toa ngoma Ina itwa first person shooter. Humo ndani j...
5 Reactions
75 Replies
2K Views
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili. Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba...
8 Reactions
48 Replies
662 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,962
Posts
49,560,594
Members
667,723
Latest member
AISHAT RASHID
Back
Top Bottom