Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wengi ni weupe sana kwenye hizi newz. Nilikuwa naongea na mmoja hana hata habari ya uwepo wa kimbunga hidaya. Ukikuta wenyewe wametulia wanaangalia TV hapo lazima kuna; tamthilia, bongo muvi...
0 Reactions
4 Replies
56 Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imekabidhiwa mikononi mwa wanajeshi na Askari. Kazi hii aliifanya Magufuli kwa lengo la kumwezesha kutoa amri ya kutimiza malengo yake . Baada ya JPM bado...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
34 Reactions
188 Replies
2K Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
26 Reactions
312 Replies
6K Views
Kadri miaka inavyozidi kwenda, pia speed ya muda unaongezeka. Siku hizi unashangaa tu kumekucha hujakaa sawa giza hilo. Je kuna uwezekano dunia iinazunguka kwa kasi with time, I mean kadri...
6 Reactions
47 Replies
485 Views
Habarini Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani...
1 Reactions
72 Replies
885 Views
Kwa barabara za mjini Dar, ujenzi wake ni kila mwaka, barabara hizi hujengwa kwa gharama kubwa, lakini kila mwaka zinatengeneza mashimo. Ukiangalia zile barabara zilizojengwa na kampuni ya...
0 Reactions
8 Replies
93 Views
Ninawasanua makada wenzangu wa chama chetu CCM, hebu tujaribu kulijibu hilo swali kimantiki!! Hoja za lissu tumeshindwa kujibu na hilo swali tunaweza kulijibu? Ifikie hatua tuache kujibu mipasho...
2 Reactions
8 Replies
202 Views
Mimi sio shabiki wa KATAA NDOA ila kwa hili wapo sahihi OKOA kibunda
7 Reactions
12 Replies
142 Views
Kila mtu wangu wa karibu aliyefanikiwa kupelekwa polisi Kigoto maeneo ya Kirumba alirudi na kusimulia upendo uliopita kiasi ndani ya Jeshi la polisi nchini. Inasemekana ndani ya selo za Kigoto...
0 Reactions
3 Replies
17 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,889
Posts
49,558,411
Members
667,685
Latest member
Shagihelo
Back
Top Bottom