Recent content by Zoro

  1. Z

    Socialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada

    Pole napitia the same ndo maana unaona nimereply thread ya mda mrefu kwasababu natapatapa kupata solution maana yangu ipo on edge
  2. Z

    Health Anxiety Disorder (wasiwasi uliopitiliza kuhusu afya yangu)

    Uvumbo wa manemane ndio nn na nitaupata wapi?
  3. Z

    Health Anxiety Disorder (wasiwasi uliopitiliza kuhusu afya yangu)

    Asante nimeenda kwa wataalamu nimekutwa na OCD na anxiety disorder
  4. Z

    OCD inanitesa, sijui nifanyeje!

    Asante nataka kuanza session j3 hii aisee maana nipo kwenye crisis, ngoja nikapite na huko reddit
  5. Z

    OCD inanitesa, sijui nifanyeje!

    Pole sana mkuu, napitia changamoto kama hii yani kwangu ni severe haswaa iko mixed na health anxiety disorder, naona watu wanakudhihaki hapa ila hawajui kua ni ugonjwa mbaya sana na ndo maana mara nyingi nashindwa hata kuwaeleza watu kwasababu wanaishia kudhihaki tu, nipo kwenye stage ambayo...
  6. Z

    Health Anxiety Disorder (wasiwasi uliopitiliza kuhusu afya yangu)

    Habari zenu wakuu, Ninachangamoto inanikabili kuhusu afya yangu, physically nipo sawa sina shida yoyote ila kuna hali ya wasiwasi wa hali ya juu hua inanijia na kuniambia ninaenda kupata ugonjwa mbaya sana. Mwanzo ilikua inanijia tu randomly sasa hivi inanijia kila nikishika kitu chochote...
Back
Top Bottom