Hali si shwari hapa Dodoma! Gari letu (GRG EXPRESS ) kutokea Mwanza - Dar limeharibika na tunasubiri litengemae, lakini hatujui tutafika lini Dar, kwani linaharibika kila wakati na abiria wanasema hawatopanda tena hili basi.
Tumetoka mwanza tangu Jana jioni na sasa tupo Dodoma, tunaachwa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.