Kama uliongeza pesa kwa kutetemeshwa wewe ni dhaifu,na utakua mfano bora wa ulichokiona mbeya yani katika nyumba yako mke wako ndiye atakua mwenye sauti.
Yani mimi kitendo cha kusema pesa ndogo siwezi toa posa ningewaacha na binti yao hapo
Huu ushauri wako leo ingekua ni 80's ama early 90's ungefanya kazi ila kwa kizazi hiki bora achukue mwanae alee kuliko kuoa mwanamke mwenye mtoto,
Najua changamoto zake ndo mana simshauri hata kidogo,
Nisikilize mimi kama umeamua kutosikiliza wazazi,
KAA MBALI NA WANAWAKE WENYE WATOTO,
NARUDIA KAA MBALI
hakuna kitu utafanya kwa mwanae aone ni sahihi na changamoto kubwa ni ambavyo hiwez lea mtoto asie wako.
Bro kaa mbali i mean it
Sheria yangu no.1
Sitoruhusu mahusiano ya aina yoyote mahali nafanyia kazi, hata huyo bint awe na uzuri wa aina gani
Pole ila ukifanikiwa kuachana nae itakua jambo jema sana,mapenzi kazini kiasi kikubwa huaribu kazi
Wewe unajitambua kweli ,uhusiano wa kula mchana na serikali ni wapi na wapi,
Wamekamata watu wanaokula mchana kwakuwa ni mwezi wa rama,
Sasa hakunaje uhusiano na uislamu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.