mimi na uelewa wangu ninaamini chama kitakacho komboa taifa letu kwa muda muafaka ni CHADEMA kama ni uongo subili mchakamchaka ndo mtaamini by General Kipara:target::target:
Nimeamini kuwa bukoba manispaa madiwani wote wa CCM ni wa kuchonga kama alivyo dhibitisha mbunge wa manispaa hiyo hamisi balozi kagasheki kwenye mkutano wake wa tarehe 24-11-2012 uwanja wa mayunga mjini hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.