Mim mwenyew na shindwa kumwelewa vizuri , yeye ndo alienisaidia kupata hio mchongo , licha ya mim mwenyew kuzurumiwa pesa yangu ya siku Moja , kuandika Uzi huu Nia ya dhati ni kuomba nafasi nyingine ya kazi
Kaka mimi sio mwajiri mim mwenyew nimmojawapo ambaye nilipata hio tenda , na pia sijapewa pesa zangu za mwisho ila na shukuru tu kwa kile nilicho kipata , ukifatilia post zangu za nyuma utaona nilikuwa naomba kazi mtu akaamua kunipa huo mchongo
Kaka mimi sio mwajiri mim mwenyew nimmojawapo ambaye nilipata hio tenda , na pia sijapewa pesa zangu za mwisho ila na shukuru tu kwa kile nilicho kipata , ukifatilia post zangu za nyuma utaona nilikuwa naomba kazi mtu akaamua kunipa huo mchongo wa yas
Ndugu zangu wapendwa,
Ninapenda kutoa shukrani za dhati kwenu kwa sapoti na msaada wenu mkubwa mlionipa hadi kufanikisha kupata tenda ya Tigo YAS ya kubandika mabango. Ingawa tenda hiyo imeisha, imenifungulia njia na kuniongezea imani kubwa katika kazi zetu.
Naomba kuendelea kuwaombea...
Kama wiki mbili niliomba kazi humu na nikafanikiwa kupata tenda ya tigo yas ya kubandika mabango narudi kwenu tena kuomba Kazi au kibarua chochote kitakachokuwepo 🙏🙏
Mim nimemaliza mwaka huu katika chuo kikuu dar es salaam katika fani ya bachelor of commerce in tourism and hospitality management , sijaweka kwa sababu nasubiria matokeo yatoke ndo maana nikaamua niweke elimu yangu ya form six dhumuni kubwa ni kufanya kazi zile zote ambazo haziitaji mtu awe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.