Kingine umesahu hizo nchi ni za kidictator wafalme ili waendelee kupata mema yao bila kubighudhiwa imaging hizo nchi hata waua raia wao wenyewe watatetewa na kulindwa ili mradi tu wanalinda maslahi usa mfano saudia arabia ilimuua mwandishi jamali ghashugi usa ikamkingia kifua MBS
Brain washed kutoka western propagand .. hakika wamefanikiwa ila vita ya palestina imesaidia sana kuamsha watu usingizin kuhusu western propagand na israel inavyopewa sifa kumbe ni koloni la magaharibi
Walitaka wapate huma ya dunia kama kawaida yao yaani unamchoma mtu visu halafu ww ndo unalalamika unaonewa baahati mbaya victim card imeshaaisha mda wake wakoloni wanaaojiita israel wameshaaharibu card yao ya sntisemtism
Si kweli kitu amabacho hukifaham ni kuwa iran ni nchi inayojitegemea kuliko nchi yoyote ndo maana pamoja na hayo mambo haujaona ikiomba msaada iran ina AD zake zinazozalishwa pale pale na sio kwamba ziko weak kilichotokea ni hujuma tu kwa mifumo yoyote ni lazima ingeharibika tu .. mda si mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.