Recent content by zithromax

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Hatimae makubaliano kati ya Iran na Oman kuhusu mlango wa bahari wa Hormuz yafanyika

    Swala sio kulipia mbona kinacholipiwa ni kidogo sana .. swala hapo ni wazayuni ndo wanateseka irani kuwa na fedha za kutosha .. walitamani baada ya kuishambulia nchi hivyo waongeze na presure ya vikwazo nchi iwe dhaifu sana halafu siku wakija tena na porojo za nuclear wanaimalizia na israel awe...
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Hata mgalatia anatumia akili jamaa anaroho mbaya zaido ya mchawi iran wameuliwa watu 3000+ irani imeshambulia nchi kama 5 hivi waliokufa hawazid 20
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Hii comment unadhani umekatwa kichwa au unaishi dunia ya kwako peke yao iran alishambulia nchi kama 5 akaua watu wasiozid 20 usa na israel wao waliua watu kama 3000+ nani alikuwa anashambulia hovyo hapo
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Hivi kwa nini wabongo manakuwa mnajizima data hivyo .. bila hao washirika , logistically hamna jinsi usa ataweza kuendesha vita hapo mashariki ya kati .. akirusha mdege kwa week moja tu kutoka relavive au cipras gharama inaweza fika bill 70 .. kwa hiyo hizo kambi hapo ni mhim sana .. kuendesha vita
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Wamelengwa wakiwa kilometa 900 huko halafu jamaa anadai hawana shabaha aisee hii nimeona hata usa wameshaanza kuogopa
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Rada zote zimeshaaunguzwa ambazo ziliwekwa na usa kumlinda israel kama first line of defence and early warnig system
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Ameshinda huku ameshikilia Humuzi .. kitu ambacho wazayuni kinawatesa sana .. maana kupitoa humuzi ndo ataanza kuujenga uchum wake vizuri
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Hata mimi nilikuwa nafikiria hivyo kuwa usa wana watu smart mpka trump alivyokuja kunifungua akili .. amka mkuu usa ni taiifs la hivyo sana kwenye kufanya maamuzi.. na sasa ndo wamezinguanana na mchina kwenye critical mineral ndo inaongeza ugumu
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Wengi wanahoji, kwanini Iran hapigi ndani ya Marekani, Bali anapiga nchi jirani yake?

    Anayehoji kwa nini irani haipigi usa nyumbani kwake huyo ni taahira
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel amethibitisha kuwa Marekani wanatumia Base za Israel kuishambulia Iran.

    Kilochowaogopesha usa ni pale walivyopondaponda hema lao la kuassembel drone na paking ya F35 pamoja na c17 global master pale jodan .. jamaa wakaanza kulalamika haiwezekani .. rusia na uchina wanatoa usaidizi
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel amethibitisha kuwa Marekani wanatumia Base za Israel kuishambulia Iran.

    Wabongo huwa wanapenda kudandia vitu vya israel hao kusema uongo ni jadi yao huwa wanasema 99% interception rate
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Swali zuri
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Kwa bahati mbaya ameyakosa na anaenda kufukuzwa mashariki ya kati .. mtaka vingi kwa pupa hukosa vyote
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Akishaasafisha hapo israel anakuwa uchi hebu fikiria haya makambi yote ni kuajili ya kuilikda israel .. kwa kutumia early warnig na kuazisha mashambulizi kutokea hapo .. bila hizo kambi usa hawezi kushambulia irani kwa siku zaidi ya 4 maana gharama yake ni kubwa mno
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Iran wanaonea Bahrain na Kuwait, mbona hawagusi Kambi ya Marekani iliyopo Israel? Wanawaogopa Israel?

    Usa hana kambi ya jeshi huko analo ghala la silaha tu
Back
Top Bottom