Hapo waliopoutengeneza huo mfumo dunia ika lala ikidhani ipo salama mpaka kondoo alipoanza kuitumia hiyo swift kama silaha dunia ndo inahaingaika kujinasua huko
West walifanikiwa sana kuharibu hiki kizazi siku watakapoamka watakuwa wamechelewaa sana hasa hapa bongo wakisikia israel huwa wanafikiria ni wezao .. wakristu kule israel nj chini ya asilimi 2 na huwa wanawekwa daraja la chini sana
Waarab ni vichwa maji kwa kweli wanazid kukamuliwa pesa .. ngap kubwa kuliko zote ni ujirani mwema na kuishi kwa aman na majiran zako sio kitengeneza uadui halaifu mtegemee THAAD Patriote zitawalinda
Swala sio kulipia mbona kinacholipiwa ni kidogo sana .. swala hapo ni wazayuni ndo wanateseka irani kuwa na fedha za kutosha .. walitamani baada ya kuishambulia nchi hivyo waongeze na presure ya vikwazo nchi iwe dhaifu sana halafu siku wakija tena na porojo za nuclear wanaimalizia na israel awe...
Hii comment unadhani umekatwa kichwa au unaishi dunia ya kwako peke yao iran alishambulia nchi kama 5 akaua watu wasiozid 20 usa na israel wao waliua watu kama 3000+ nani alikuwa anashambulia hovyo hapo
Hivi kwa nini wabongo manakuwa mnajizima data hivyo .. bila hao washirika , logistically hamna jinsi usa ataweza kuendesha vita hapo mashariki ya kati .. akirusha mdege kwa week moja tu kutoka relavive au cipras gharama inaweza fika bill 70 .. kwa hiyo hizo kambi hapo ni mhim sana .. kuendesha vita
Hata mimi nilikuwa nafikiria hivyo kuwa usa wana watu smart mpka trump alivyokuja kunifungua akili .. amka mkuu usa ni taiifs la hivyo sana kwenye kufanya maamuzi.. na sasa ndo wamezinguanana na mchina kwenye critical mineral ndo inaongeza ugumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.