Swala sio kulipia mbona kinacholipiwa ni kidogo sana .. swala hapo ni wazayuni ndo wanateseka irani kuwa na fedha za kutosha .. walitamani baada ya kuishambulia nchi hivyo waongeze na presure ya vikwazo nchi iwe dhaifu sana halafu siku wakija tena na porojo za nuclear wanaimalizia na israel awe...
Hii comment unadhani umekatwa kichwa au unaishi dunia ya kwako peke yao iran alishambulia nchi kama 5 akaua watu wasiozid 20 usa na israel wao waliua watu kama 3000+ nani alikuwa anashambulia hovyo hapo
Hivi kwa nini wabongo manakuwa mnajizima data hivyo .. bila hao washirika , logistically hamna jinsi usa ataweza kuendesha vita hapo mashariki ya kati .. akirusha mdege kwa week moja tu kutoka relavive au cipras gharama inaweza fika bill 70 .. kwa hiyo hizo kambi hapo ni mhim sana .. kuendesha vita
Hata mimi nilikuwa nafikiria hivyo kuwa usa wana watu smart mpka trump alivyokuja kunifungua akili .. amka mkuu usa ni taiifs la hivyo sana kwenye kufanya maamuzi.. na sasa ndo wamezinguanana na mchina kwenye critical mineral ndo inaongeza ugumu
Kilochowaogopesha usa ni pale walivyopondaponda hema lao la kuassembel drone na paking ya F35 pamoja na c17 global master pale jodan .. jamaa wakaanza kulalamika haiwezekani .. rusia na uchina wanatoa usaidizi
Akishaasafisha hapo israel anakuwa uchi hebu fikiria haya makambi yote ni kuajili ya kuilikda israel .. kwa kutumia early warnig na kuazisha mashambulizi kutokea hapo .. bila hizo kambi usa hawezi kushambulia irani kwa siku zaidi ya 4 maana gharama yake ni kubwa mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.