Recent content by zithromax

  1. Z

    JamiiForums Tanzania The islamic republic of Iran is completely collapsing!

    Hapo waliopoutengeneza huo mfumo dunia ika lala ikidhani ipo salama mpaka kondoo alipoanza kuitumia hiyo swift kama silaha dunia ndo inahaingaika kujinasua huko
  2. Z

    JamiiForums Tanzania The islamic republic of Iran is completely collapsing!

    West walifanikiwa sana kuharibu hiki kizazi siku watakapoamka watakuwa wamechelewaa sana hasa hapa bongo wakisikia israel huwa wanafikiria ni wezao .. wakristu kule israel nj chini ya asilimi 2 na huwa wanawekwa daraja la chini sana
  3. Z

    JamiiForums Tanzania The islamic republic of Iran is completely collapsing!

    Unaandika utafikiri iran ndo ilianda kumshambulia usa kule kwao
  4. Z

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa Sept 9

    Wanatoa sim mpya kama ada sio kwa kuwa wanatech mpya wanakubadilishia housing wanaongeze hapo dollar 300
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametangaza dola 30,000 kwa atakaye ua askari wa Marekani

    Kwa hiyo marekani ndo wanataka aman anayehamgaika kwa kutaka mazungumzo ni iran au usa
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Wanyonge wa Iran( Waarabu ) hatimaye wapatiwa silaha za kujilinda dhidi ya Iran

    Waarab ni vichwa maji kwa kweli wanazid kukamuliwa pesa .. ngap kubwa kuliko zote ni ujirani mwema na kuishi kwa aman na majiran zako sio kitengeneza uadui halaifu mtegemee THAAD Patriote zitawalinda
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Hatimae makubaliano kati ya Iran na Oman kuhusu mlango wa bahari wa Hormuz yafanyika

    Swala sio kulipia mbona kinacholipiwa ni kidogo sana .. swala hapo ni wazayuni ndo wanateseka irani kuwa na fedha za kutosha .. walitamani baada ya kuishambulia nchi hivyo waongeze na presure ya vikwazo nchi iwe dhaifu sana halafu siku wakija tena na porojo za nuclear wanaimalizia na israel awe...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Hata mgalatia anatumia akili jamaa anaroho mbaya zaido ya mchawi iran wameuliwa watu 3000+ irani imeshambulia nchi kama 5 hivi waliokufa hawazid 20
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Hii comment unadhani umekatwa kichwa au unaishi dunia ya kwako peke yao iran alishambulia nchi kama 5 akaua watu wasiozid 20 usa na israel wao waliua watu kama 3000+ nani alikuwa anashambulia hovyo hapo
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Hivi kwa nini wabongo manakuwa mnajizima data hivyo .. bila hao washirika , logistically hamna jinsi usa ataweza kuendesha vita hapo mashariki ya kati .. akirusha mdege kwa week moja tu kutoka relavive au cipras gharama inaweza fika bill 70 .. kwa hiyo hizo kambi hapo ni mhim sana .. kuendesha vita
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Wamelengwa wakiwa kilometa 900 huko halafu jamaa anadai hawana shabaha aisee hii nimeona hata usa wameshaanza kuogopa
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Rada zote zimeshaaunguzwa ambazo ziliwekwa na usa kumlinda israel kama first line of defence and early warnig system
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Ameshinda huku ameshikilia Humuzi .. kitu ambacho wazayuni kinawatesa sana .. maana kupitoa humuzi ndo ataanza kuujenga uchum wake vizuri
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Hata mimi nilikuwa nafikiria hivyo kuwa usa wana watu smart mpka trump alivyokuja kunifungua akili .. amka mkuu usa ni taiifs la hivyo sana kwenye kufanya maamuzi.. na sasa ndo wamezinguanana na mchina kwenye critical mineral ndo inaongeza ugumu
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Wengi wanahoji, kwanini Iran hapigi ndani ya Marekani, Bali anapiga nchi jirani yake?

    Anayehoji kwa nini irani haipigi usa nyumbani kwake huyo ni taahira
Back
Top Bottom