Recent content by zithromax

  1. Z

    Netanyahu anapambania wayahudi, na sio Israel wala waisrael

    Wayahudi hawajawahi kuwa tatizo . Tatizo ni wazayuni waliojiweka nyuma ya wayahudi
  2. Z

    Israel yaiomba ruhusa Marekani iishambulie Iran, URUSI yaondoa wanadiplomasia Tel Aviv

    Na hapo ana kila aina ya silaha kituka ulaya na usa ambapo zelensk angetamani awe nayo
  3. Z

    Balozi wa Marekani awatukana waarabu kuwa hawajastaarabika

    Wanaojiita waliostaaribika ndo wanawashambulia hospitali na wanahabari wakiwa live
  4. Z

    Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

    Kingine umesahu hizo nchi ni za kidictator wafalme ili waendelee kupata mema yao bila kubighudhiwa imaging hizo nchi hata waua raia wao wenyewe watatetewa na kulindwa ili mradi tu wanalinda maslahi usa mfano saudia arabia ilimuua mwandishi jamali ghashugi usa ikamkingia kifua MBS
  5. Z

    Jinsi operation "rising lion" ilivyogeuka kuwa operation "sleeping lion". Nini tunajifunza kuhusu jambo hilo?

    Brain washed kutoka western propagand .. hakika wamefanikiwa ila vita ya palestina imesaidia sana kuamsha watu usingizin kuhusu western propagand na israel inavyopewa sifa kumbe ni koloni la magaharibi
  6. Z

    Iran wakiri kutumia makombora ya zamani kwenye vita vya siku 12 na Israel

    Walitaka wapate huma ya dunia kama kawaida yao yaani unamchoma mtu visu halafu ww ndo unalalamika unaonewa baahati mbaya victim card imeshaaisha mda wake wakoloni wanaaojiita israel wameshaaharibu card yao ya sntisemtism
  7. Z

    Kiasi gani cha nguvu wanazo Wayahudi/Waisrael katika siasa na uchumi wa Marekani ?

    Hii comment yako ilipaswa iwe imemaliza na kuufunga hu uzi .. usa ndo taifa linaloongoza kwa rushwa kwenye uchaguza kupitia hiyo AIPAC
  8. Z

    AMKENI! AMKENI!: Operation Komboa Venrezuela Imeanza

    Mafuta ya venuzule hayapo ndani ya miliki ya wazayuni hiyo ndo kosa
  9. Z

    Kwa nini Trump anawadharau sana viongozi wa Ulaya

    Meloni anabonge la mguu
  10. Z

    Kwa nini Trump anawadharau sana viongozi wa Ulaya

    Utafikiri ni wanafumzi wanaomba ajira kwa niterview
  11. Z

    Russia yawasaidia Iran kutengeneza mifumo ya vita iliyoharibiwa na Majeshi shupavu ya Israel kipindi cha vita ya siku 12

    Si kweli kitu amabacho hukifaham ni kuwa iran ni nchi inayojitegemea kuliko nchi yoyote ndo maana pamoja na hayo mambo haujaona ikiomba msaada iran ina AD zake zinazozalishwa pale pale na sio kwamba ziko weak kilichotokea ni hujuma tu kwa mifumo yoyote ni lazima ingeharibika tu .. mda si mrefu...
  12. Z

    Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

    Lile sio shambulio ni kama ugaid hebu fikiria kushambulia kempisk ili kuua hapo mtu mmoja hatakama kuna watu 700 ndani halafu unajisifia
Back
Top Bottom