Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea, nikitokea Kijitonyama .
Binafsi, ni miezi sita tangu nifike Tabata, na njia zangu za kawaida zilikuwa hazinipeleki upande huo.
Lakini kila tulipokuwa tukikata kona, nilikuwa nashangaa kuona jinsi mji ulivyobadilika. Si ule mji...
Kwa sasa hatujaanza kupokea bima tupo kwenye makubaliano na makampuni na taasisi za bima ili tuweze kufanya nao kazi hivyo huduma zinaendelea kwa cash tu 🙏karibu sana
Mwamuzi kutoka somalia Omar Artan ( 34 yrs) baada ya kukataliwa kuingia Marekani Kuchezesha kombe la Dunia 2026 , kuchezesha Uefa Super Cup kati ya Paris. Saint German PSG VS Aston Villa
Usiache kamwe kuota ndoto yako .” ✨
🇸🇴🏆 Kutoka Somalia hadi kwenye UEFA Super Cup, Omar Artan...
😁 Rudisha tabasamu lako kwa meno bandia ya kudumu (Crowns & Bridges)!
Je, una jino lililovunjika, lililoharibika au lililopotea? Tunakupa suluhisho la kudumu kwa kutumia Crowns & Bridges zenye muonekano wa asili, uimara na faraja.
✨ Faida zake:
🦷 Hurejesha umbo na kazi ya meno.
🦷 Huboresha...
Kama mwanaume, watoto wako wakiwa bado wadogo na wewe ukiwa katika kilele cha nguvu zako ukiwa na kazi ya kudumu, nyumba huwa inaendeshwa kama ufalme uliopangwa vizuri. 😂
Wewe ndiye Amiri Jeshi Mkuu, Waziri wa Fedha, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mkuu wa Usalama na Jaji Mkuu kwa wakati mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.