Ndyo inawezekana kabisa meno kutoboka / kuoza kwa mtu mwenye miaka 8 ambapo sababu kubwa ni
Matumizi ya dawa zenye sukari hasa ( syrup )
Matumizi ya vyakula vyenye sukari kama pipi, biskuti , ice cream, Ufresh
kutosafisha kinywa angalau mara mbili kwa siku
Mtoto kunyonya kwa kutumia mrija (...
🦷Je unajua nini Kuhusu meno bandia ya Kudumu !?
Meno bandia ya kudumu ni meno yanayowekwa juu ya jino lililoharibika au sehemu iliyopotea ili kurejesha muonekano, uwezo wa kutafuna na tabasamu.
Zirconia
Zirconia ni aina ya meno bandia yenye uimara mkubwa na muonekano unaofanana kwa karibu...
🦷 Huduma ya Kuziba Meno Yaliyotoboka/Kuoza
Kuziba jino (Dental Filling) ni matibabu yanayolenga kuondoa sehemu ya jino iliyooza na kujaza nafasi hiyo kwa material maalum ili kurejesha umbo, kazi na uimara wa jino.
Faida za kuziba meno yaliyotoboka/kuoza:
1. Huzuia kuoza kwa jino kuendelea...
Meno bandia ya Kauri Porcelain Fused to Metal (PFM) ni meno ya kutengenezwa ambayo yana msingi wa chuma (metal) ndani na kufunikwa kwa kauri ya porcelain nje. Hutumika kurejesha jino lililoharibika sana au kuchukua nafasi ya jino lililopotea, hasa kama sehemu ya crown au bridge.
Faida za...
Jana usiku nilikuwa namsindikiza rafiki yangu Tabata Segerea, nikitokea Kijitonyama .
Binafsi, ni miezi sita tangu nifike Tabata, na njia zangu za kawaida zilikuwa hazinipeleki upande huo.
Lakini kila tulipokuwa tukikata kona, nilikuwa nashangaa kuona jinsi mji ulivyobadilika. Si ule mji...
Kwa sasa hatujaanza kupokea bima tupo kwenye makubaliano na makampuni na taasisi za bima ili tuweze kufanya nao kazi hivyo huduma zinaendelea kwa cash tu 🙏karibu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.