Recent content by Ziltan

  1. Ziltan

    Msaada: Nimetupiwa kipande nateseka mwaka wa 3 sasa, nahitaji msaada

    Binafsi niliamshwa kwa dawa ya mganga, Ndio nikazinduka toka Gizani, shimoni, vifungoni. Nilipoanza kuendelea kujiweka sawa zaidi, Kupitia njia za waganga, ikashindikana. Nikaanza kufatilia kanuni za kuishi Kiuokovu, Now namshukuru Mungu.
  2. Ziltan

    Kwanini wanaume wako hivi?

    Imeandikwa USIZINI Unapoenda kinyume Mungu huwaacha wote na kuanza kufanyiana huo unyama. Zaidi She atamlaumu bure he kumbe tayari Shetani keshachukua utawala wa fahamu zake.
  3. Ziltan

    Ficha mambo haya, kisha njoo unishukuru

    Vizuri, ila siri hizi wazipata wapi,
  4. Ziltan

    Miriam Migomba aacha kazi TBC

    Kila laheri Mama.
  5. Ziltan

    Je, umewahi kupatwa na hali hii au unapitia kwenye hali hii?

    Umepiga kwenye mshono, Hiyo hali sikia tu,
  6. Ziltan

    Hongera star TV kwa vipindi Bora

    Kongole kubwa kwenu, Kuanzia mida ya saa 3 za usiku, wakati familia zimetulia nyumbani. Vipindi vyenu ni Bora kwa watu wote. Wakati channel zingine zikiwa busy na nyimbo zenye matusi na kuvaa uchi uchi, nyie mpo makini kutupatia kilicho bora. Hongereni sana.
Back
Top Bottom