Recent content by zigii

  1. zigii

    Upinzani ndani ya CCM waweza kuwa mgumu kuliko vyama vya upinzani

    Fikuria upya serekali hii ni tafauti na ile ya G55 maendeleo kwanza
  2. zigii

    Je, rungu la Spika wa Bunge (Mace) lilikuwepo wakati akina Halima Mdee wanaapishwa

    Kwa hiyo kama spika angekumbuka kuleta siwa pale nje ingekuwa halali?
  3. zigii

    Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

    Wao sio wa kwanza kutema nondo hilo lipo linategemewa
  4. zigii

    CHADEMA ilikuwa na uwezo wa kupata Wabunge wengi ila kauli tata za Tundu Lissu zimewagharimu

    Huna kumbukumbu hujui wakurugenzi walikwa kazini?
  5. zigii

    Je, Serikali ina uwezo wa kuwalinda Wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA waliofukuzwa Uanachama?

    Mm naamini lengu kuu ni kuwaaminisha umma kuwa hao si wanachama
  6. zigii

    Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

    Dah!? Rudi school tafadhali hauko sawa
  7. zigii

    Hoja ya Mbowe: Je, mbunge anaapa mbele ya Spika au anaapishwa na Spika mbele ya Bunge?

    Chaguzi ndogo nyingi zimefanyika huko nyuma ni lini washindi waliapishwa nje ya bunge? Tena ikiwa si ktk kipindi cha bunge? Kulikuwa na haraka gani ikwa spika kisha pewa majina?
  8. zigii

    CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

    Anafikiri ww pekee ndio unajua siasa za awam hii? Wengi wanajua wapo wenye ujasiri kama wako wanasema wangine kwa hofu wako kimya na huu ndio mfumo tutakaokwenda nao mpaka 2025 upinzani watakuwa wanagawiwa viti mpinzani jeuri atakula jeuri yake hatimar wooote watakuwa ccm hapo ndio bakora...
  9. zigii

    CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

    Na akiwafukuza hawafukuziki wapo mikononi mwa spika bora awaache walivyo mtoto huwa hafukuzwi nyumbani kwa makosa
  10. zigii

    CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

    Usijisumbue bure kupiga ramli cdm inawenyewe na hawatatetereka asilan ww unafahamu uzito wa mdee,mbowe,lisu na mnyika? Hivyo ni vichwa vilivyopita kwenye tanuri la moto vimesafishika na vimekomaa subiri uone sehemu ya pili 2025 cdm hatoki mtuuu
  11. zigii

    Uongozi wa juu wa CHADEMA unahusika moja kwa moja na uteuzi wa wabunge wa Viti Maalum walioapa tarehe 24/11/2020

    Hata kama ni kweli chama kimebariki cha ajabu ni nn? Rejea maumivu walopata viongozi wa cdm kwa kipindi cha miaka 5 ingekuwa ww ungehimili? Wanachama wamesaindia nini ktk kutoa suport kwa viongozi wao? Uchaguzi umeisha hali ya matokeo umeyaona kila mtu anarudi kwake wangine wamo maabusu wangine...
Back
Top Bottom