Kama mbunge ana elimu ya darasa 7 hata kama anakifadhili chama una fikiri uwezo awke wa kufikiri unafikiri nini zaidi ya kujipendekeza kwa serikali au ccm
Watanzania nisaidien maana akili yangu imegota kufikiri kuna nini kwenye katiba mpaka wabunge wa ccm wang'ang'anie kuuupitisha mswada huu,Hawa Wabunge wa Tanzania wanawajibika kwa nani, Hivi wabunge hawa ni wa Chama au wa kupeleka mawazo ya wananchi bungeni?
MBONA NASHINDWA KUELEWA NCHI HAINA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.