Naukubal sana uchambuz wako , unatoa pongez panapostahil, na pia unakosoa panapostahil, unaonekana hauna upande, hongera sana ila sometym ni kama una uchochez flan hiv[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
yan nimeingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya mgombea wetu ktk uwezo wake wa kuhutubia mpaka najiulizwa endapo utaandaliwa mdahalo kati yake na magufuli iv sisi ukawa tutatoka kweli?
Vijana wengi mtaan wamekuwa wakisubir tume itangaze kazi za muda mfupi kwa ajili ya daftar la kudumu la wapiga kura(BVR) . Lakin cha ajabu tunaona watu wameshaingia kazin bila umma kuelezwa hao watu wamepatikana vipi na kwa vigezo gani.
Mbona nchi jiran ya kenya ilitangaza nafas za kaz (BVR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.