Recent content by Zerubabeli

  1. Z

    Popcorn machine Inauzwa

    Ipo katika hal nzur inatumia solar power bei ni Tshs milioni moja Mawasiliano 0789 885802
  2. Z

    Mteja wa haraka anahitajika

    Mashine ya Popcorn inauzwa, inatumia solar power bei yake ni Tsh 1,250,000, kama uko tayar nichek kwa namba 0789885802
  3. Z

    Mashine ya Popcorn Inauzwa

    Imetumika miezi 3 tu
  4. Z

    Mashine ya Popcorn Inauzwa

    Mashine ya Popcorn inauzwa inatumia solar power bei ni Tshs 1,250,000 , kwa anaehitaj tuwasiliane 0789885802
  5. Z

    Mashine ya Pop Corn Inauzwa

    Ipo katika hali nzuri inatumia solar power, bei yake ni 1,250,000, kwa anaehitaji anicheki 0789885802
  6. Z

    Dotto Bulendu atishiwa kutokana na maandiko yake katika kusema ukweli wa mambo juu ya serikali

    Naukubal sana uchambuz wako , unatoa pongez panapostahil, na pia unakosoa panapostahil, unaonekana hauna upande, hongera sana ila sometym ni kama una uchochez flan hiv[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  7. Z

    UKAWA hamkujipanga kwa ajili ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba

    yan nimeingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya mgombea wetu ktk uwezo wake wa kuhutubia mpaka najiulizwa endapo utaandaliwa mdahalo kati yake na magufuli iv sisi ukawa tutatoka kweli?
  8. Z

    Ushauri unahitajka

    nenda kwa mganga
  9. Z

    Tume ya Uchaguzi Tanzania itueleze jinsi ilivyowapata makarani wa BVR

    Nchi jiran ya kenya iliwapata makaran wa BVR kwa njia hii
  10. Z

    Tume ya Uchaguzi Tanzania itueleze jinsi ilivyowapata makarani wa BVR

    loh! labda waliteuliwa kama madc wa bongo wanavyoteuliwa, hatuwez kujua, maana tunaona watu wapo mzigon tu
  11. Z

    Tume ya Uchaguzi Tanzania itueleze jinsi ilivyowapata makarani wa BVR

    Vijana wengi mtaan wamekuwa wakisubir tume itangaze kazi za muda mfupi kwa ajili ya daftar la kudumu la wapiga kura(BVR) . Lakin cha ajabu tunaona watu wameshaingia kazin bila umma kuelezwa hao watu wamepatikana vipi na kwa vigezo gani. Mbona nchi jiran ya kenya ilitangaza nafas za kaz (BVR...
Back
Top Bottom