asante kwa kunipasia mpira kwenye goli tupu. Unamleta Taha Hussein kama utetezi wa dini, wakati yeye ndiye aliyewaambia kuwa ushairi na baadhi ya simulizi za Quran ni "Fabrications" (Zilimbuniwa)! 📉🚫
1. SHAKA NI JICHO LA AKILI: Taha Hussein alitumia mbinu ya Rene Descartes (Cartesian Doubt)...
Wakuu, leo nawapasulia jipu la mwisho. Kama unajua akili yako imeshikiliwa na itikadi, usisome. Hii ni kwa ajili ya binadamu wanaotumia UBONGO kudadisi "The Hidden Truth." 🧠🚫
📍 1. VATICAN: THE WORLD'S OLDEST INTELLIGENCE AGENCY 🇻atican 🕵️♂️
Wakatoliki mnadhani mnaongozwa na "Mtakatifu," kumbe...
Hebu tuache unafiki wa kuitana “wasomi.” Ukweli mchungu ni kwamba, kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu, mfumo wetu wa elimu mara nyingi haujengi maarifa ya vitendo wala fikra huru, bali unalenga zaidi kukaririsha kuliko kufundisha kufikiri.
1. Miaka 20 ya Elimu Bila Ujuzi wa Vitendo
Kijana...
Hebu tujipigeni vifua mara 10 huku tukisema kwa sauti kuu: "SISI NI MAFALA NA TUNA ELIMU YA KITUMWA!" 🤡🥊
Miaka 60+ baada ya uhuru, bado tunasoma elimu ya kifala iliyochakaa. Tunasoma masomo 15 kama vile tunataka kuwa "kamusi" zinazotembea, lakini mwisho wa siku hata kutengeneza kijiko cha kulia...
Nawaona mnavyochukiana mitaani na hapa JF kisa dini, nacheka sana. Hivi mnatambua ninyi ni MAFALA WASIOJITAMBUA? 😂
Yaani unamchukia ndugu yako, jirani yako, au mbongo mwenzako kisa tu mmoja anamshabikia mzungu fulani (Kristo) na mwingine mwarabu fulani (Mudi)? Nasema tena: WEWE NI FALA MARA...
UZunguni dini ni kama utamaduni tu secularism na logic zinatawala
Dini Sio msaada wa maisha
Na hata huko Uchina wengi ni atheists
Nchi zote zilizoendelea atheist ni wengi
Kuliko sisi maskini huku tunaomlilia mungu kila siku
Ouky hapo nimekupata
Sasa siku nyingine ukiwa hutaki
Facts na hoja zenye akili
Basi jitahidi usiwe una comment kabisa kwenye content kama hizi kuepusha kujibiwa
Bro mabadiliko hayaji na mtu mmja yanakuja na kundi kubwa lenye mindset kali
TUmekuwa brainwashed since tuko watoto
Mabadiliko yanakuja na mfumo
Na sio kumtegemea mungu
Ndo kila siku tunawapa madili wachina ambao hawana huyo kristo au mudi wako
Bro, hiyo historia umeifundishwa kanisani au umeisoma kwenye vitabu vya kweli? Sayansi na Logic vilianzia Ugiriki ya Kale (Ancient Greece) na akina Aristotle na Socrates mamia ya miaka kabla hata huyo Yesu wako hajazaliwa. Ukweli ni kwamba Kanisa ndilo lilikuwa adui mkubwa wa sayansi! Walimfunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.