Poa mkuu usiwaze, lakini ili urenew lain inabidi iwe offline at least siku tatu mfululizo. Lakin hiyo lain bado ipo hewani so inabidi tuiblock kwanza then iwe offline kwa muda huo ndio tuta-renew
Hakuna siku ambayo JF nimeiona chungu kama hii leo, yani nina machungu ya mama kuibiwa nikaona ni vyema niwashirikishe wana jf wenzangu kwa msaada zaidi but unfortunately naambulia kumtukanisha mama hivhiv yani. Binafsi siwezi matusi na wala majibizano na watu na sijawahi kufanya hivyo hata humu...
Habar,
Wakuu mama yangu aliibiwa simu sikukui ya idd maeneo ya Magomeni ikiwa na laini mbili ya tigo na zantel,tuliwapigia tigo tukawaambia waifungie laini wakakubali lakini hawakufanya hivyo kama walivyotuahidi. Sasa hii leo huyo jamaa amekua akitumia watu wa kwenye majina ya muke kwenye simu...
Hapana sina biashara nyengine mkuu, nipo napiga kazi tu za kuajiriwa pia sina mpango wa kujenga kwa sasa maana sina pesa.
Na nikinunua bodaboda ndani ya mwaka itakua imenirudishia pesa yangu na faida kama ya 1mil tu
Wakuu leo nimeenda kukiona kiwanja,
Kipo mbande ndanindani huko wanapochimba mchanga na kinaukubwa wa mita 18 kwa 18.pia kipo mbali na barabara yani kutoka mbande ili kufika huko inabidi uchukue bodaboda na bei ni ileile 1.3M.
LAKINI NDUGU ZANGU WAKATI WA KURUDI TULIPATA AJALI KIDOGO YA...
Ngojea nitafuatilia kwa undani zaidi,japo kua ni rafiki yangu wa karibu simuamini sana pia hela yangu nilivyoipata kwa tabu siwezi itoa kizembezembe namna hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.