Habari Jamii Forums
nauliza, je ni subwoofer gani ina base kubwa na bei yake ni ya kawaida yaani katikati ya laki 1 mpaka laki mbili. isizidi laki mbili.
used in excellent condition
16GB storage
RAM 2GB
Screen size 9.7 inch
colour blue
operating system android
bei ni Tshs. 680,000/=
napatikana mwanza
phone number 068 619 4335, ipo whatsapp pia
[IMEUZWA] IMEUZWA [IMEUZWA]
habari jamii forum
nauza printer aina ya epson L805 used
inaprint picha za rangi na karatasi za kawaida
inaprint cd na pvc cards pia
imetumika mwaka mmoja
ninapatikana mwanza
unaweza kunicheki kwa namba ya simu 0686194335 inapatikana whatsapp pia
bei ni...
Apartment ina vyumba viwili, sebule na jiko. Chumba kimoja ni master.
Iko kwenye compound ya nyumba 3. Kuna geti na parking. Barabara inapitika.
Umeme unajitegemea.
Kuna matank ya kutunza maji, ikitokea maji yamekatika.
Ipo maeneo ya greenview-kiseke, Mwanza.
Kodi 2.5M kwa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.