Mmh sijui ni hypothetical story au ni real lakini yote kwa yote hata kabla hujaiendeleza huyo bidada ni wa kupigwa chini ni pepo maana waweza kuamua kukaa naye baada ya mwezi mmoja tu anakuibulia mengine
Mkuu piga chini huyo si mwanamke muaminifu atakuja kukletea maradhi au hata kuja kupigwa maana siku ukimtembelea Morogoro jamaa yake huyo anaweza ku organize rafiki zake waje kukuvamia.Ninajua una uchungu sana wa kumsomesha na gharama zingine nyingi lakini hayo hesabu ni matumizi yaliyopota bila...
Aisee bado hujapaa tu maana kwa ku post hii thread ni sawa umechukua mbuzi na kwenda kumkabidhi chui akutunzie mbuzi wako definitely utamkuta mbuzi keshaliwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.