Kuweni wabunifu na si kulalamikia kila anachofanya Lowassa,yeye anaomba nafasi kubwa kabisa ya uongozi katika Taifa ,kwa hiyo ni lazima ayajue matatizo na changamoto katika ngazi zote hasa zile za wanyonge. Sasa ninyi mnaolalama na kuuliza ni kwa nini hakufanya hivyo wakati akiwa waziri mkuu...
Utungu wa mpango wa bao la mkono kupitia tume inawezekana ulianza alipobadilishwa mkurugenzi wa tume ghafla katika kipindi cha miezi mitatu kabla ya uchaguzi. Ni muhimu kwa usalama wa nchi kukubaliana na pendekezo la kutangaza matokeo kama yatakavyokuwa katika kila ngazi bila kuchelewesha. Mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.