Akifa kiongozi au mwanasiasa huyo ameuawa ila akifa bibi yako basi amekufa kwa natural death au kwa UTI usiwe mpuuzi kwahiyo viongozi au wanasiasa hawapaswi kufa?
Mnamkumbuka huyu jamaa? Anaitwa Deogratius Kisandu. Aliwahi kuwa Katibu wa BAVICHA mkoa wa Tanga, mgombea ubunge jimbo la Lushoto kupitia Chadema. Baadae akahamia NCCR Mageuzi na kuwa Msaidizi binafsi (PA) wa Mwenyekiti Mbatia, kisha akawa Katibu Mwenezi wa chama hicho taifa.
Mwaka 2018...
Kupitia kuajiriwa nimeshakata tamaa kumiliki gari la ndoto yangu kama Ford Ranger au Toyota Hilux, au hata zote kwa pamoja. Kwa mshahara ninaoupata, ndoto hiyo kwa kweli inaonekana haiwezekani kutimia.
Sijui nifanye nini. Hata kupitia madokezo, extra duty au per diem, bado naona haiwezi...
Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa
Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.