Recent content by Zee la madawa

  1. Zee la madawa

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Wakristo sijui kwanini mnateseka sana na waislamu kila mtu afanye anayeyaona sahihi
  2. Zee la madawa

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Akifa kiongozi au mwanasiasa huyo ameuawa ila akifa bibi yako basi amekufa kwa natural death au kwa UTI usiwe mpuuzi kwahiyo viongozi au wanasiasa hawapaswi kufa?
  3. Zee la madawa

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Mmmh hawa ndiyo waTanzania vichwa panzi kwahiyo wakristo wauawe ili iweje? Mpumbavu kabisa
  4. Zee la madawa

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Kwamba masaki ndiko kuna wakristo tu ila mbagala kuna waislamu you mean waislamu ni masikini ila wakristo ni matajiri si ndiyo?
  5. Zee la madawa

    Usimuwekee dawa ya kienyeji kwa siri mtu bila kuijua zaidi hiyo dawa, ndo chanzo cha yule dada kumuua mumewe

    We dada sijui kwanini comment zako nyingi zinanifurahisha aisee by the way nakupenda sana ❤️❤️❤️
  6. Zee la madawa

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Mnamkumbuka huyu jamaa? Anaitwa Deogratius Kisandu. Aliwahi kuwa Katibu wa BAVICHA mkoa wa Tanga, mgombea ubunge jimbo la Lushoto kupitia Chadema. Baadae akahamia NCCR Mageuzi na kuwa Msaidizi binafsi (PA) wa Mwenyekiti Mbatia, kisha akawa Katibu Mwenezi wa chama hicho taifa. Mwaka 2018...
  7. Zee la madawa

    Ndoto yangu ni kumiliki Ford Ranger au Toyota ila kupitia kuajiriwa nishakata tamaa haiwezi tokea

    Kupitia kuajiriwa nimeshakata tamaa kumiliki gari la ndoto yangu kama Ford Ranger au Toyota Hilux, au hata zote kwa pamoja. Kwa mshahara ninaoupata, ndoto hiyo kwa kweli inaonekana haiwezekani kutimia. Sijui nifanye nini. Hata kupitia madokezo, extra duty au per diem, bado naona haiwezi...
  8. Zee la madawa

    Baadhi ya mambo ambayo yamevumbuliwa au kuanzishwa na watu wenye asili ya kiyahudi

    Wajomba zako,waume zako au waswahili wenzio wamegundua nini hapo? Acha utumwa wa kifikra binti
  9. Zee la madawa

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni

    Diallo mwenyewe amekubali star tv na Wenza zisimamishe utendaji wewe mluga luga unakuja kupiga kelele hapa wabongo sijui mpoje
  10. Zee la madawa

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Siku baada ya siku sioni dalili ya kutoboa kupitia haya maisha ya kuajiriwa mambo yanazidi kuwa tough familia inaanza kukua kwa mshahara huu wa single digit sina hakika kama kuna kutoboa bila kuchukua action sasa Kinachouma zaidi kuna watu huo mshahara wako ni per diem ya siku mbili tu aisee...
Back
Top Bottom