Recent content by zeck 9t

  1. zeck 9t

    Najitolea figo

    Nashukuru kwa taarifa yako ndugu.
  2. zeck 9t

    Najitolea figo

    Habari zenu wapendwa katika bwana..!! Asalam Alekh!! Kwanza ningependa kutanguliza shukrani zangu kwa wana JF kuwa pamoja muda huu... sina mengi ya kusema ila jambo kubwa nalotaka kuwaeleza ni juu ya kujitolea figo kwa mtu yoyote ambae yupo katika hali mbaya, nimeamua kufanya hivi kutokana na...
  3. zeck 9t

    Msaada wa figo.

    Ma dr wako jamani..? Kwa majib ya jambo langu?
  4. zeck 9t

    Msaada wa figo.

    Habari ndugu wanajamii forums mie ni mgeni humu ila nashukuru kwa topic zenu. Shida yangu kubwa ni kutaka kujua kama endapo mtu unaamua kujitolea msaada figo kwa wagonjwa wenye tatizo, hata kama sio ndugu yako je unatakiwa ufate taratibu gani ili kuwapata walengwa na inawezekana kufanya hivyo...
Back
Top Bottom