Jamii nyingi za kitanzania zitabadili vitendo endeshi kwa watoto na kuwapa nafasi ya kuchagua maamuzi yaliyo Bora kwao.
1. Mimi Ni mmoja ninayepitia changamoto ya kufikia ninachokitaka kutokana na jamii na familia ninayoiishi.
2. Inakuwa ngumu kwa mtu kuwa na uelewa wa anachokipendelea au...
Tanzania tuitakayo. Miaka kadhaa sasa Tanzania inatakiwa kubadili mfumo mzima wa elimu kwa wanafunzi lakini pia kukabiliana na ubunifu wa watoto ili miaka ijayo tusiwakose wabunifu wetu wenyewe kutokana na kutowafanyia bidii mapema. Na hii ikikamilika Tanzania itakadiriwa kuwa na watu mahiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.