Recent content by Ze Blessed

  1. Z

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Sawa Ntajaribu Ndugu. lkn Kama Ningekuwa nimekosea pasword ningeambiwa tu lkn sion chochote
  2. Z

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    mda gan Utakaa sawa Kaka nijuze kidg maana sielew Kabisa
  3. Z

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Jamani Inakuaje Nalogin Kwenye Acount ya loan board inagoma kufunguka na siambiwi kama pasword au user name sio sahihi apo tatzo ni nn... msaada jaman nimekwama kwa hili
  4. Z

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Jamani Wakati Najijasiri Na Loan Board Form Nmekosea Mwaka wa kumaliza kidato cha nne badala ya 2012 nikaandika 2010.. na ile transaction ID nimeshaituma Tyr Na Limetokea ina la mtu mwingine... naomba yeyote mwenye namba za loand board tofauti na zile walizoziweka anisaidie...
  5. Z

    Sua sua sua...

    kila la kheri safarini kwako, hahahahahahaha
  6. Z

    boom sua aje?

    kaka hawa wazinguaji na ndo maana wanafunzi huwa wanagoma, yan nshachoka sana.
  7. Z

    BVM BVM BVM Ni Nouma

    kaka pole sana, ila komaa tu na wala uckate tamaa, mambo yataeleweka naamini.
  8. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    hapo kikubwa cha kufanya, fuatilia sua kwanza kama jina lako waliltoa tena kwa mara ya pili, na ikishindikana wafate tcu wenyewe ongea nao watakuelewa, kwa kufanya hvyo utafanikisha kaka.
  9. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    kaka eeh, kuhusu hlo suala cjafahamu kwa sasa ila mwanzoni ilikuwa hv, ilionekana agr b. ilchukua idadai kubwa ya wanafunzi ndipo chuo kikaamua kurudisha baadh ya majina tcu kwa ajili ya uteuz mpya, na kuna jamaa angu m1 alipangiwa hyo course lakini kwa sasa kapangwa civil mist. So cjajua kwa...
  10. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    kaka kuhusu agri bsns cjajua vzr ila ninachofahamu field mnaanza mwaka wa pili, kwa maelezo zaidi tembelea web yao sua.
  11. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    poa poa mkuu usijali.
  12. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    Poa poa ndugu usiwaze, nashukuru kwa kuligundua hilo.
  13. Z

    Wale wa sua mambo tayari.

    kaka source ni mimi mwenyewe, ndo maana nikatoa mfano kuhusu mimi.
Back
Top Bottom