Mambo 10 ya Msingi ambayo Rais Magufuli ameshindwa kuyafanya tangu aingie madarakani.
1 Mikataba yote ya Rasilimali za Nchi - PSAs Kwa Mafuta na Gesi Asilia na MDAs Kwa Madini bado ni Siri na sio Rais au Makamu wa Rais au Waziri Mkuu ambaye kaonyesha hata nia ya kutazama upya mikataba hii na...
Huko sahihi kabsa Nginana, ccm Ndio iliyotufikisha hapa, lakini tena ndio iliyoanza kusafisha madudu take ...sifa zinatoka wapi sasa..mfano mtoto kupelekwa shule na mzazi sio jambo la hajabu coz ni wajibu wake ..kuna mambo serikari inafanya wajibu wake sifa zinatoka wapi kwani mlitegemea...
Rashind C
Allan P
Nikama vile shetani
ameshika Biblia na pambio anawaimbia
machozi pia anawalilia ,maneno yake yanaingia
gafla mnaanza kumsifia kisha namagoti
mnapigia na kuanza kumsifia na kumsujudia,
mmekosea labda hamjui wala hamfaham nini
kitawatokea.......
sikuona haja ya kikao chako
cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.